RUWASA YAFANIKISHA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA VIJIJI 10,000 KATI YA 12,000 TANGU ILIPOANZISHWA MWAKA 2019

Na Mwandishi Wetu,Songea ZAIDI ya vijiji 10,000 sawa na asilimia 79.8 kati ya vijiji 12,333 vimepata maji safi na salama huku huduma ya maji ikiongezeka kutoka asilimia 50 mwaka 2019 hadi kufikia asilimia 79.9 mwaka 2024 tangu Serikali ilipoanzisha wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)mwaka 2019. Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri wa…

Read More

Kuelekea kimbunga Ialy, wavuvi mkao wa kula, wengine wapuuzia

Tanga/Lindi. Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitahadharisha kuhusu kimbunga Ialy kinachotarajiwa kusababisha upepo mkali nchini kesho Jumanne, Mei 21, 2024, wananchi wanaofanya shughuli zao kwenye ukanda wa pwani wa Bahari ya Hindi wameeleza namna walivyojipanga huku wengine wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. Juzi, TMA ilitabiri kimbunga hicho kilichopo umbali wa kilomita…

Read More

Miili miwili ya walioangukiwa na ukuta yazikwa Dar

Dar es Salaam. Miili ya watu wawili kati ya wanne wa familia moja waliofariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba waliyokuwa wakiishi imezikwa. Ajali hiyo ilitokea Mtaa wa Goroka B, Toangoma, mkoani Dar es Salaam. Miili mingine imesafirishwa kwenda mkoani Kigoma. Ajali ilitokea asubuhi ya Aprili 26, 2024. Waliofariki dunia ni Lidya Heza (21),…

Read More

Wanachama wa Republican Huwalaumu Wanawake kwa Kiwango cha Chini cha Kuzaliwa Marekani – Masuala ya Ulimwenguni

Kulingana na Warepublican wengi, kiwango cha chini cha kuzaliwa kwa Amerika na shida ya ustaarabu iliyosababishwa na matokeo yake mabaya kwa nchi inaweza kulaumiwa kwa wanawake wa Amerika katika umri wa kuzaa. Maoni na Joseph Chamie (portland, Marekani) Jumatatu, Oktoba 07, 2024 Inter Press Service PORTLAND, Marekani, Oktoba 07 (IPS) – Nchi kote duniani zinakabiliwa…

Read More