Mpango mkubwa zaidi wa dola bilioni nyingi katika historia ya Amerika-na serikali ya Amerika ya 51? – Maswala ya ulimwengu

Jeshi la anga la Royal Saudia F-15SA. Mikopo: Idara ya Ulinzi ya Amerika (DOD) na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Mei 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mei 23 (IPS) – Wakati Rais wa Merika Donald Trump alipojitolea kutangaza Canada kama jimbo la 51 la Amerika, Wakanada walikataa kabisa pendekezo…

Read More

Chaumma yaahidi kujenga barabara ya Uvinza-Kasulu

Kigoma. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kujenga barabara ya lami kutoka Uvinza hadi Kasulu Mjini kupitia Kata ya Basanza, endapo atachaguliwa kuwa Rais Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 20, 2025, katika Kata ya Basanza, Mwalimu amesema barabara hiyo ni…

Read More

Bado tatu tu, Matampi anaswe

KIPA namba moja wa Simba, Moussa Camara ‘Spider’, ameendelea kung’ara katika Ligi Kuu Bara, kwa sasa akisaliwa na clean sheet tatu tu aifikie rekodi iliyowekwa msimu uliopita na kipa aliyekuwa Coastal Union, Ley Matampi aliyeachana na klabu hiyo hivi karibuni. Matampi aliyetwaa tuzo ya Kipa Bora wa msimu akimzidi ujanja aliyekuwa mtetezi wa tuzo hiyo…

Read More

Maureen Sizya apika watu Sauzi

MTANZANIA Maureen Sizya ni mmoja wa makocha wa kikapu katika jopo la mradi ya BAL4HER nchini Afrika Kusini, alikoungana na wakufunzi mahiri kutoka Amerika, Afrika Kusini na Gabon kufundisha umahiri wa mchezo huo. Akizungumza na Mwanasposti baada kurejea nchini juzi, Maureen alisema BAL4HER ni mpango unaolenga kuibua, kuendeleza na kuwawezesha wanawake wa Kiafrika katika nyanja…

Read More