BAJANA: Ishu ya Simba  ilikuwa siriazi

DIRISHA kubwa la uhamisho linaendelea kushika kasi kwa klabu mbalimbali zikiwamo za Ligi Kuu Bara hasa Simba, Yanga na Azam FC ambazo zimekuwa gumzo zaidi kutokana na sajili za kibabe ambazo zimekuwa zikifanya tangu dirisha hili limefunguliwa. Kati ya mijadala mikubwa kwa mashabiki kila kona kuanzia kwenye mitandao ya kijamii hadi vijiwe vya kahawa, ni…

Read More

Baraza latambua ‘massage’ kama tiba asili

Morogoro. Kwa mujibu wa Sheria namba 23 ya mwaka 2002 ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala, huduma za ukandaji na uchuaji misuli zinatambuliwa kama sehemu ya tiba za asili, na maeneo yanayotoa huduma hizo yanahesabiwa kuwa vituo vya tiba asili. Vilevile, wataalamu wa huduma hizo wanatambulika kama sehemu ya waganga wa tiba asili. Hayo…

Read More

Kwa Mkapa wapewa heshima ya VAR

Dar es Salaam. Baada ya Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kutangaza kuwa msimu ujao mechi za Ligi Kuu zitakuwa teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video Assistance Referee-VAR), Kaimu Mkurugenzi wa Michezo Ally Mayai amesema Uwanja wa Mkapa umeteuliwa kuwa kituo maalumu cha mafunzo kwa Afrika. Mwigulu aliyasema hayo juzi Alhamisi, Juni 13, 2024…

Read More

Wasaka ubunge majimbo ya Mwanza wakoleza joto

Mwanza. Haikuwa na haitakuwa kazi rahisi hata kidogo! Huo ndio usemi unaofaa kuelezea hali ya kisiasa, hasa nafasi za ubunge katika majimbo ya Nyamagana, Ilemela, Sengerema na Buchosa ambayo ni sehemu ya majimbo manane ya uchaguzi mkoani Mwanza. Ugumu wa uchaguzi mwaka huu unaanzia kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya vyama kutokana na mwamko wa…

Read More

Simba, Yanga fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Hekaya za mlevi: Mwaka unaisha angalia usijimalize

Dar es Salaam. Mwezi Desemba una sikukuu nyingi. Sehemu kubwa ya dunia inajiandaa kumpokea Masihi, lakini pia kufunga mwaka tayari kwa kuupokea mwaka mpya. Kila jamii inausherehekea mwezi huu muhimu kwa utamaduni wake. Wachagga wataenda kulamba kisusio, Waskotish watavaa sketi za drafti, Warusi watakunywa Vodka, na wengine watafululiza kwenye klabu za starehe.  Msimu huu unaungana…

Read More

Fursa 'muhimu' kwa ulimwengu salama, endelevu zaidi na wenye usawa – Masuala ya Ulimwenguni

“Tunahitaji mshikamano mkubwa zaidi wa kimataifa leo na kwa vizazi vijavyo, usimamizi bora wa masuala muhimu ya kimataifa na Umoja wa Mataifa ulioboreshwa ambao unaweza kukabiliana na changamoto za enzi mpya,” alisema. Mkutano wa tukio la Future Global Callakisisitiza kuwa taasisi za sasa haziwezi kuendana na mabadiliko ya nyakati. Katika mkutano huo muhimu, Nchi Wanachama…

Read More