
Prof. Ndakidemi aitaka TMA kutoa taarifa kwa njia ya SMS
MBUNGE wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi (CCM) ameishauri Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) kutumia simu za mkononi ili kuwapeleka wananchi taarifa muhimu pale inapotokea kuna hali tete katika maeneo mbalimbali kuhusu hali ya hewa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Prof. Ndakidemi ametoa rai hiyo leo Jumatatu bungeni jijini Dodoma wakati…