Jalada anayedaiwa kubaka mwanaye lapelekwa kwa DPP

Dodoma. Jeshi la Polisi limekamilisha upelelezi wa tuhuma dhidi ya baba anayedaiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa miezi sita. Limeeleza leo Jumatano Septemba 4, 2024 jalada limepelekwa katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya hatua zaidi. Tukio hilo linadaiwa kutokea Jumapili Septemba mosi, katika Mtaa wa Mbuyuni, Kata ya…

Read More

Ushindi Mkubwa Upo Mechi ya Seattle Sounders vs PSG

NI Jumatatu nzuri kabisa ya mwezi Juni ambayo wewe kama mteja wa Meridianbet hauna haja ya kujiuliza utapiga pesa wapi. Sehemu ni moja tuu napo ni Meridianbet ndani ya promosheni yao inayoendelea ya kubashiri na GG&3+ na kushinda mara mbili. Bado mashindano ya Kombe la Dunia ngazi ya vilabu yanaendelea huko Marekani ambapo tayari timu…

Read More

Waziri Silaa asema mapambano ya VVU na Ukimwi yanapaswa kuendelezwa

Dar es Salaam. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema jitihada za wadau mbalimbali zinapaswa kuendelezwa ili kupambana na kupunguza unyanyapaa unaohusiana na VVU, kuboresha upatikanaji wa matibabu na kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu. Mbali na Waziri Silaa, Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) imeeleza ushirikiano kati ya Serikali,…

Read More

Siri muungano wa wapinzani kung’oa vyama tawala Afrika

Muungano wa vyama vya upinzani umekuwa ni silaha ya kukabiliana na vyama vikongwe ambavyo vimeyatawala mataifa yao kwa muda mrefu tangu wakati wa harakati za ukombozi hadi zama hizi za ulimwengu wa kisasa. Baadhi ya mataifa ya Afrika yameonyesha mfano bora kwa wapinzani kuungana na kufanikiwa kushika dola na kuviondoa madarakani vyama tawala ambavyo vimekuwa…

Read More

BANDA LA TPA SASA LAENDELEA KUWA KIVUTIO KWA WANANCHI

Banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) limeendelea kuwa kivutio kwa Wananchi mbalimbali wanaotembelea Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wananchi wengi wanaotembelea Banda hili wamefurahishwa na huduma zinazotolewa hasa elimu ya kuhusu huduma za Kibandari na…

Read More

MTU WA MPIRA: Azam FC inakuja taratibu, ubingwa haupo mbali

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini wanazipenda Simba na Yanga. Ndizo timu za mioyo yao. Azam ilivyoingia kwenye ligi kwa kishindo mashabiki wachache waliipenda. Wengine waliona ni kama timu yenye fedha imekuja kuzinyanyasa Simba na Yanga….

Read More

Mogella: Yanga inaizidi Simba hapa

LEGENDARI wa soka nchini aliyewahi kutamba na klabu za Simba na Yanga pamoja na timu ya taifa, Taifa Stars, Zamoyoni Mogella ‘Golden Boy’ ametoa mtazamo akisema ujanja iliyonao Yanga kiasi cha kuizidi Simba ni kitendo cha kusajili wachezaji wenye viwango vya juu, vilivyoipa klabu mafanikio. Mshambuliaji huyo aliyewahi kucheza soka la kulipwa nje ya nchi,…

Read More