THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala ya kurejesha mtandao (intaneti) katika hali yake ya kawaida, kwani kukosekana kwake ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Wito huo umetolewa leo Jumatatu na Mratibu wa…

Read More

Huduma nyeti za intaneti zilivyosimama

Dar es Salaam. Licha ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kueleza jitihada zinafanyika ili intaneti irejee kama kawaida, jana na leo hali haikuwa shwari kwa utoaji huduma zinazotumia mtandao huo zikiwamo zile nyeti. Miongoni mwa huduma hizo ni malipo kwa njia ya simu, kutoa fedha benki, tiba mtandao na elimu mtandao. Taarifa ya TCRA iliyotolewa…

Read More

WAZIRI NAPE AWATAKA WANANCHI WA NAMELOCK -KITETO KUTUMIA MTANDAO VIZURI BILA KUDHALILISHA WALA KUTUKANA WENGINE.

Na Janeth Raphael MichuziTv – KITETO, MANYARA WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe Nape Nnauye (mb) amewataka Wananchi wa kijiji cha Kinua kilichopo kata ya Namelock Wilayani Kiteto kutumia mtandao vizuri kwa kufanya mambo ya maana na sio kumtukana mtu au kuandika mambo yasiyofaa katika mitandao hiyo ikiwemo udhalilishaji wa Mitandaoni. Waziri…

Read More

Machupa: Simba ya 1999 inaweza kujirudia

WAKATI Simba ikikosa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athuman Machupa ameitaka usajili ujao kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji, kiungo na beki wa kati kwa kutafuta wachezaji bora watakaoisaidia kubeba ubingwa. Machupa ambaye amestaafu soka la ushindani, amesema kati ya mwaka 1999 hadi 2007 Simba ilisuka…

Read More

Mradi wa maji kunufaisha zaidi ya watu elfu 7

Zaidi ya wananchi elfu 7 kutoka katika vitongoji vitatu kwenye kata ya Mlafu katika Halmashauri ya wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wanatarajia kuanza kupata maji safi na salama baada ya Serikali kutenga Shilingi Bilioni Moja kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji na hivyo kumaliza kero ya kukosekana maji kwenye maeneo hayo ambayo imedumu…

Read More

CTI na wanachama wajadili utitiri wa tozo

  MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, shule Kuu ya Biashara (UDBS), Patrolik Kanje, ameshauri utitiri wa tozo za mamlaka ya udhibiti zipunguzwe ili kuwapunguzia mzigo wazalishaji wa bidhaa nchini.Alitoa ushauri huo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wanachama wa Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI). Anaripoti Mwandishi Wetu,…

Read More

Serikali yaipa  MSD mtaji wa Sh100 bilioni

Dodoma. Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti ya Wizara ya Afya ya Sh1.31 trilioni huku Bohari ya Dawa (MSD), wakipewa Sh100 bilioni ili kuwaongezea mtaji. Kwa muda mrefu kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, imekuwa ikilalamika kuhusu ukosefu wa mtaji kwa MSD na kuitaka Serikali iwape mtaji wa Sh561.5 bilioni ili…

Read More

MAUZO YA NYAMA NJE YA NCHI YAONGEZEKA- MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa mauzo ya nyama nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 1,774 mwaka 2020/2021 hadi kufikia tani 14,701 mwaka 2022/2023. Amesema hatua hiyo imechangiwa na ushirikiano wa kibiashara na mataifa mbalimbali duniani uliohamasishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Amesema hayo leo Jumatatu (Mei 13,…

Read More