Kiungo wa Spurs, amwagia sifa Diarra

KIUNGO mkabaji nyota anayekipiga Tottenham Hotspur iliyopo Ligi Kuu England (EPL), Yves Bissouma amesema kipa wa Yanga, Djigui Diarra ni kipa bora kwa sasa duniani. Diarra na timu yake ya Mali imefuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco. Ikumbukwe Diarra mbali na kuwa kipa tegemeo katika kikosi cha Yanga, lakini hata kwenye…

Read More

Gamondi, Yanga mambo bado magumu

MAMBO bado baina ya kocha Miguel Gamondi na mabosi wa Yanga baada ya kushindikana kukutana juzi Jumatano ili kujadiliana juu ya mkataba mpya na sasa kocha huyo anaendelea kula zake bata visiwani Zanzibar wakati anasikilizia simu za kuitwa jijini Dar es Salaam. Gamondi amemaliza mkataba aliokuwa nao na Yanga baada ya kuiwezesha kutetea ubingwa wa…

Read More

DKT. CHANA APOKEA TUZO NNE ZA KIMATAIFA ZA UTALII DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt.  Pindi Chana akizungumza na watumishi waliojitokeza kwenye hafla ya mapokezi ya tuzo Nne za World Travel Awards Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbas akizungumza na watumishi waliojitokeza kwenye hafla ya mapokezi ya tuzo Nne za World Travel Awards Jijini Dodoma. Naibu Katibu…

Read More

Shule ya Istiqaama ya Tanga yapania kuongoza kitaifa usafi

Na Mwandishi Wetu.  TangaBaada ya kushika nafasi ya pili kwa usafi kitaifa kwa upande wa shule za Sekondari za Shule ya Istiqaama ya Jijini Tanga imepania kuongoza kitaifa katika mashindano yajayo ya Afya wa Mazingira kundi la shule za Sekondari Tanzania Bara. Katika masjindano yaliyofanyika mwaka huu Kibaha Pwani shule hiyo ilishika nafasi ya pili,…

Read More

SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU

📌  Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu 📌  Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleo 📌  Waziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamoto  za nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa kuhusu matumizi…

Read More