Azam FC yamvalia njuga Manula

AZAM FC imedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa kipa namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada tu ya msimu huu kuisha. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimekaririwa na Mwanaspoti kwamba viongozi wanataka kumrejesha nyota huyo aliyeondoka ndani ya kikosi hicho Agosti 9, 2017 huku akiwa ni moja ya makipa bora nchini kutokana na kiwango…

Read More

Sh102 bilioni fidia kwa watakopisha mradi mwendokasi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeidhinisha Sh102 bilioni ili kulipa fidia kwa wakazi wa Dar es Salaam ambao watalazimika kupisha ujenzi wa mradi waawamu ya  nne na tano wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Hatua hiyo si tu upanuzi wa mradi ili kuboresha usafiri wa umma pekee bali unathibitisha kutambuliwa kwa umuhimu wa kuunga mkono…

Read More

MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28 KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.

Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe, Dkt. Abdulaziz M. Abood kufuatia ziara yake ya kutembelea na kukagua maendeleo ya Shule mpya zilizojengwa katika Halmashauri hiyo…

Read More

Yanga yatwaa ubingwa wa 30, Mtibwa majonzi

SASA ni rasmi kwamba Yanga ni bingwa mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya jana kuwachapa Mtibwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Manungu Turiani Mkoani hapa. Mabadiliko matatu yaliyofanywa na Yanga kipindi cha pili, yalitosha kubadili matokeo kwenye mchezo huo ambao Mtibwa ilikwenda mapumziko ikiongoza bao 1-0 ambalo liliwapa matumaini kwamba wangeweza kushinda na kuendeleza…

Read More

WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU – MWANAHARAKATI MZALENDO

-Waipongeza TAWA kwa ushirikishaji   Na. Beatus Maganja   Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi.   Wakizungumza na waandishi wa habari katika…

Read More