Sheria mpya inayozuia UNRWA 'itakuwa janga', Guterres aonya – Masuala ya Ulimwenguni

“Ndio maana nimemwandikia moja kwa moja Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuelezea wasiwasi wake kuhusu rasimu ya sheria. ambayo inaweza kuzuia UNRWA kutokana na kuendelea na kazi yake muhimu katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu,” yeye alisema kwenye Baraza la Usalama hisa huko New York. Amesema hatua hiyo itapunguza juhudi za kupunguza mateso…

Read More

WASIRA ATAKA UWEKEZAJI UTAZAME MAKUNDI YOTE

-Ashauri wawekezaji wadogo, wakati na wakubwa wote watazamwe sawa -Asisitiza sekta ya kilimo kupewa kipaumbele kwa kinaajiri wananchi wengi MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameishauri serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kuwa karibu na wa wawekezaji wote wakiwemo wakubwa, wa kati na wa…

Read More

Mgaza atupia mbili Dodoma Jiji ikiibonda Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Yassin Mgaza, ameendeleza moto wa kucheka na nyavu katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Coastal Union. Mgaza ambaye amefikisha mabao matatu na kuwa kinara wa ufungaji kwenye michuano hiyo, alianza kuziona nyavu za Coastal Union mapema tu dakika ya pili akiitumia vizuri pasi ya…

Read More

Pinda ataka Matokeo ya Utafiti yazingatiwe kueleza faida za Kisanyansi katika bidhaa za Kilimo

Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda ametaka Utaalamu wa Kisanyansi uzingatiwe katika mnyororo mzima wa thamani wa sekta ya Kilimo ikiwa ni pamoja na kuzingatia ufafanuzi wa Kisanyansi katika chapa za bidhaa mbalimbali za Kilimo zilizoongezewa thamani ili kuonesha tija inayopatikana kwa mtumiaji wa bidhaa hizo. Mheshimiwa Pinda amesema…

Read More

Msiba

Mazishi ya aliyekuwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania, marehemu Hassan Mgaya, yamefanyika leo Alhamisi Januari 2, 2025 kwenye makaburi ya Jeti Lumo jijini Dar es Salaam.

Read More

JKT Queens yabeba kipa Mashujaa

JKT Queens msimu huu ndiyo itaiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya CECAFA ya kufuzu Ligi ya Mabingwa kwa Wanawake na tayari imeanza maboresho kwenye baadhi ya maeneo ikiwemo langoni. JKT itashiriki michuano hiyo baada ya kuwa mabingwa wa ligi msimu huu. Hii inakuwa mara ya pili kwa timu hiyo baada ya mwaka 2023 kuibuka mabingwa wa…

Read More