Dk Mpango awataka viongozi wa dini kutetea ukweli bila woga

Dodoma.Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango  amewataka viongozi wa dini, kuishi wito wao wa kinabii, kusema na kuutetea ukweli kwa ajili ya maslahi ya wananchi hasa wanyonge na wafanye hivyo kwa uhuru bila woga.  Ameyasema haya leo Jumapili Mei 12, 2024, jijini Dodoma  kwenye Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Msaidizi Wilbroad Kibozi iliyofanyika Kituo…

Read More

Aliyepandikizwa figo ya nguruwe afariki dunia

Massachusetts. Richard Slayman kutoka Massachusetts aliyepandikizwa figo ya Nguruwe amefariki dunia hii leo Jumapili Mei 12, 2024. Kwa mujibu wa BBC Slayman (62) ambaye ni mtu wa kwanza kupandikizwa figo ya mnyama huyo iliyobadilishwa vinasaba amefariki ikiwa ni miezi miwili baada ya kufanyiwa upasuaji huo mnamo Machi 16, 2024. Slayman aliruhusiwa Aprili 4, 2024 baada…

Read More

Hizi hapa sababu tatu Matampi kuvaa jezi ya Simba

SIMBA inahaha kumbakisha kipa wake namba moja, Ayoub Lakred ambaye anatingisha anataka kuondoka na kurejea Morocco lakini kukabiliana na presha hiyo, Wekundu hao wameanza mazungumzo na kipa namba mbili kwa ubora kwenye ligi kwa sasa, Ley Matampi. Uamuzi huo wa Simba unakuja huku kukiwa na sababu tatu zinazombeba Matampi kuwa na nafasi kubwa ya kuvaa…

Read More