SGR inavyoweza kuwa fursa kwa usafiri wa anga

Dar es Salaam. Licha ya mtazamo kuwa, kuimarika kwa usafiri wa reli ya kisasa (SGR) kutaathiri usafiri wa anga kwa upande mmoja, wadau wa usafiri huo, wamesema reli hiyo ya kisasa inaweza kuimarisha sekta ya anga pia. Matumaini ya wadau hao yanatokana na mtazamo, kuna uwezekano wa vyanzo hivyo vya usafiri kushirikiana na kuwapa fursa…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More

SERIKALI INATAFITI MIKARATUSI KUHARIBU MAZINGIRA

Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) inaendelea na utafiti wa kina wa miti aina ya mikaratusi kuhusu athari zake kimazingira na kuja na taarifa ya kitaalamu pamoja na ushauri. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ameriarifu Bunge wakati akijibu swali la Mbunge wa Hai…

Read More

Dk Nchimbi aibeba falsafa ya maridhiano ya Rais Samia

Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema siasa ya vyama vingi si ugomvi, akiwataka wana-CCM na Watanzania kutoacha kuzungumza na kusalimiana, ili kujenga mshikamano wa Taifa.  Amewataka wanachama wa CCM kuishi katika misingi ya kutogombana, ili kutunza dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhimiza maridhiano na umoja wa kitaifa…

Read More

Profesa Janabi aonya kuhusu sukari, akikabidhi msaada waathirika wa mafuriko Rufiji

Kibaha. Miaka 300 iliyopita duniani hakukuwa na sukari, hali inayoelezwa iliwaepusha binadamu kupata magonjwa yanayotokana na matumizi ya bidhaa hiyo.  Kutokana na hilo, imeelezwa wakati umefika sasa wa kuitumia sukari kwa makini kulinda afya. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya THPS (Tanzania Health Promotion Support), Profesa Mohamed Janabi amesema hayo…

Read More

UDOM KUANZISHA PROGRAMU MAALUMU YA UTHIBITISHO UBORA KWA WATAALAMU WA TEHAMA

Chuo Kikuu cha Dodoma kiko mbioni kuanzisha programu ya mafunzo ya Uthibitisho wa Ubora wa Wataalam wa Usalama Mtandaoni (Cybersecurity Professional Certification Program), hatua ambayo ni muhimu kuelekea kuboresha elimu na mafunzo ya usalama wa mtandao, inayotolewa na Chuo Kikuu cha Dodoma, pamoja na kuongeza wigo wa ajira kwa wataalamu wanaozalishwa nchini. Hayo yameelezwa leo…

Read More

Bwire mtendaji mpya Dawasa – Millard Ayo

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) katika kikao maalum cha Waziri wa Maji na Bodi ya Wakurugenzi DAWASA kilichofanyika leo tarehe 03 Julai, 2024 ofisi za DAWASA Dar Es Salaam. Mhandisi Bwire ni Mtumishi wa Wizara ya Maji…

Read More

Ahoua achorewa ramani mpya | Mwanaspoti

KAMA wewe ni mpenzi na shabiki wa Simba, basi tegemea kuona maajabu zaidi kutoka kwa kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua hasa kwa mechi za kimataifa, baada ya kocha Fadlu Davids kueleza mipango ya kumchorea ramani mpya ili azidi kufunika. Kiungo huyo raia wa Ivory Coast anayeichezea Simba msimu wa kwanza akisajiliwa kutoka Stella Club d’Adjam…

Read More