‘TLP haitakufa’, mrithi wa Mrema atangaza kutiania jimbo la Vunjo

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Richard Lyimo amesema chama hicho hakitakufa licha ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wake, marehemu Augustino Mrema, badala yake kitaendelea kuimarika kisiasa. Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo Alhamisi Agosti 21, 2025, katika eneo la Njiapanda ya Himo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, Lyimo amesema TLP bado kina…

Read More

RC James awataka wafanyabiashara kutumia kongamano kutangaza bidhaa

Iringa. Kongamano la Iringa Business Connect limefunguliwa rasmi leo Alhamisi Agosti 21, 2025 katika Viwanja vya Kichangani, Manispaa ya Iringa, likishirikisha wafanyabiashara, wajasiriamali, wawekezaji na taasisi mbalimbali zinazotoa huduma kwa wafanyabiashara. ‎Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amewataka wafanyabiashara kutumia vyema kongamano hilo kutangaza bidhaa na huduma…

Read More

Ifahamu kiundani teknolojia ya laini za eSIM na faida zake

Dar es Salaam. Kadiri teknolojia upande wa simu janja ikiendelea kushika kasi huenda wakati ujao, watumiaji wa simu hizo wakaachana ama kusahau kabisa matumizi ya laini za kadi zilizoeleka. Hilo linawezekana kutokana na teknolojia ya simu kadi za kidijitali ijulikanayo kama eSIM (embedded SIM) ambayo inapatikana katika matoleo mapya ya simu za kisasa zinazoingia sokoni…

Read More

Fisi waua kondoo 17 Itilima, wazua hofu kijijini

Itilima. Hofu imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Gambasingu baada ya fisi wanne kuvamia zizi la kondoo na kuua kondoo 17 huku wengine watano wakijeruhiwa katika shambulio la usiku wa kuamkia leo Agosti 21, 2025. Shambulio hilo lilitokea saa 6 usiku katika Kitongoji cha Mwabasambo A na limeelezwa na wenyeji kuwa ni tukio la kihistoria kutokana…

Read More

Ukosefu wa elimu kikwazo cha matumizi ya nishati safi

Mbeya. “Elimu ije kwa wananchi,” ni kauli ya baadhi ya wakazi wa mitaa mbalimbali Wilaya ya Mbeya Vijijini huku wakielezea kikwazo cha kutekeleza mkakati wa Serikali kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Shabaha ya mkakati huo ni kuandaa programu za elimu na uhamasishaji kuhusu nishati safi­ ya kupikia. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More