NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA MAKAMPUNI YA UWAKALA WA MELI

Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akutana na kuzungumza na Viongozi Makampuni ya Uwakala wa Meli ya Nyota Tanzania LTD (MAERSK Tanzania) na Sturrock Flex Shipping LTD jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake ametumia fursa hiyo kuwaeleza kuhusu maboresho mbalimbali yanayofanywa na Serikali katika Miundombinu ya Bandari ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Mtwara na…

Read More

Katibu Mkuu Luhemeja akizungumza na Watananzia COP29

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na Watanzania ambao wanashiriki Mkutano wa 29 wa Kimataifa wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika mjini Baku, Jamhuri ya Azerbaijan kuanzia Novemba 11-22,2024.Mha. Luhemeja amesisitiza washiriki hao kuwa Wazalendo kwani nafasii waliyoipata ni adhimu hivyo watumie wakati wote kuhakikisha wanafanya…

Read More

Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

Kasi ongezeko maambukizi ya kaswende yashtua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameishauri Serikali ipambane na kasi ya ongezeko la magonjwa ya zinaa nchini, huku kaswende ikitikisa zaidi. Kaswende husababisha magonjwa ya moyo, upofu, ugumba, mzio wa ngozi, ganzi mwilini na athari zingine. Kwa mujibu wa wataalamu hao, kaswende inakuwa tishio zaidi kwa kuwa aliyeambukizwa anaweza kuishi na maambukizi hayo hata…

Read More

Mradi wa Rostam wa gesi ya kupikia wapata kibali Kenya

Mombasa. Kampuni iliyoanzishwa na mfanyabiashara bilionea na mwekezaji wa viwanda kutoka Tanzania, Rostam Aziz, Taifa Gas Investments SEZ Ltd, imepata nafuu baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi (ELC) nchini Kenya kutupilia mbali kesi iliyopinga ujenzi wa kiwanda chake cha gesi ya kupikia (LPG). Mradi huo wa kiwanda chenye thamani ya Dola 130 milioni za…

Read More

ZAIDI YA WASHIRIKI 3,000 WASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA ARUSHA.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limezindua kampeni ya tuwaambie kabla hawajaharibiwa kwa lengo la kuongea na wanafunzi kuanzia elimu ya awali hadi vyuo vikuu kwa ajili ya kuwaelimisha juu ya kujitambua ili kujiepusha na vitendo vya mmomonyoko wa maadili. Akizungumza katika uzinduzi huo ambao umehudhuriwa na washiriki zaidi…

Read More

Beki KMC apewa dili miaka mitatu Misri

ALIYEKUWA beki wa KMC, Raheem Shomari amesaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia Ghazl El-Mehalla ya Misri. Akizungumza na Mwanaspoti, beki huyo alisema tayari ameungana na timu hiyo na anaendelea na maandalizi ya msimu mpya ambao unatarajiwa kuanza wiki mbili zijazo. “Ni kweli nimemalizana na timu hiyo na tayari nipo kambini tunaendelea na maandalizi ya msimu…

Read More