MGOMBA URAIS CCM DK.SAMIA AKOSHWA NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA TABORA, AAHIDI MAKUBWA MIAKA MITANO IJAYO

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More

Pedro afichua mkakati mpya Yanga

PIGO kubwa ililopata Yanga pale kwenye safu ya ulinzi kutokana na beki na nahodha msaidizi, Dickson Job kuumia, limeendelea kuwa gumzo na kuibua wasiwasi, sio ndani ya timu pekee, bali hata kwa mashabiki wakijiuliza sasa itakuwaje bila  uwepo wake. Job ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti huku taarifa zikibainisha kwamba hadi kufikia Juni 2026 anaweza kurudi…

Read More

Haya ndio matumaini mapya wakazi Kisiwa cha Uzi

Unguja. Baada ya kilio, mateso na kuhangaika kwa muda mrefu wakazi wa kisiwa cha Uzi na Ng’ambwa Mkoa wa Kusini Unguja, sasa wameeleza matumaini mapya baada ya kuanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa kilometa 2.2 kuunganisha visiwa hivyo na maeneo mengine. Kwa kawaida wananchi wa visiwa hivyo kuingia na kutoka hutegemea kupwa na kujaa…

Read More

Urasimu, tozo za kero kwenye taasisi za umma, mashirika kumulikwa

Dodoma. Serikali imetangaza mchakato wa kupitia upya mashirika na taasisi za umma zinazohusika na udhibiti na usimamizi wa shughuli za kibiashara. Lengo la Serikali ni kupunguza urasimu unaosababishwa na kanuni na tozo zisizo za lazima, zinazokwamisha ukuaji wa biashara nchini. Mpango huu pia unalenga kuondoa urasimu unaochangia kuchelewesha uwekezaji na kupunguza tija katika sekta ya…

Read More

Dk Tulia kujenga nyumba 13 kila kata

Mbeya. Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya baadhi ya wazee kuishi mazingira magumu kwa kukosa makazi bora, mbunge wa Uyole Dk Tulia Ackson ameeleza mpango wake wa  kujenga nyumba 13 katika kila kata jimboni kwake ili kuwarejeshea tabasamu. Dk Tulia amesema hatua hiyo ni kuikumbusha jamii kuwa na utaratibu wa kusaidia makundi hayo na wasione jambo…

Read More

Kwa hali hii matumizi ya gesi yetu hayaepukiki

Niliwahi kuulizwa na rafiki wa Kijerumani: “kinywaji chenu asilia ni kipi? Tulikuwa katika mapumziko nje ya Motel Agip. Ili kumjibu haraka nilimuita muuza madafu. “Mchongee moja laini huyu mgeni wangu.” Muuza madafu alitomasa bidhaa zake, akauliza, “maji au nyama?” Nilimwambia maji maana mgeni huyu hakuuliza chakula, bali kinywaji. Akachongewa dafu na kuyafurahia maji yake. Wakati…

Read More

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI WAANZA KUTEMA CHECHE BAADA YA USHINDI WA KISHINDO KATIKA UCHAGUZI MKUU

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT)  Wilaya  ya  Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru  na kuwapongeza  wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM)  kuweza  kushinda kwa kishindo katika nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja…

Read More