ATCL yapewa ujanja – Mtanzania

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Shirika la Ndege Tanzania (ATCL),limeshauriwa kuongeza ununuzi wa ndege ndogo ili kuboresha sekta ya usafiri wa anga nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wajibu, inayojihusisha na kukuza mazingira ya uwajibikaji wa umma nchini,Ludovic Utoh, leo Septemba 13,2024 wakati akizindua Kitabu cha ATCL Business Model kinazozungumzia Hadithi ya…

Read More

Mzize aendeleza rekodi michuano ya CAF

MABAO mawili aliyofunga dakika ya 13 na 20 yaliyoiwezesha Taifa Stars kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, Clement Mzize kuendeleza rekodi tangu katika michuano inayoendeshwa na CAF. Mzize aliiwezesha Stars kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar ikiwa ni wa tatu mfululizo wa Kundi B na kutinga robo fainali kwa mara ya…

Read More

Samatta arejea Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nahodha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Mbwana Samatta amehitimisha vyema msimu wa 2023/2024 baada ya timu yake PAOK kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Aris, jana. Matokeo hayo yameifanya PAOK kumaliza ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ikikusanya pointi 80,…

Read More

Serikali kusimamia shughuli za Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imesema itaendelea kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za Uchumi wa Buluu nchini ili kuhakikisha wananchi wananufaika kwa kutumia rasilimali hizo kwa ukuaji wa uchumi na maendeleo endelevu. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Ashatu Kijaji wakati wa Kikao cha…

Read More

Maneno ya mwisho ya Papa Francis

Vatican. “Asante kwa kunirudisha kwenye uwanja.” Ni miongoni mwa maneno ya mwisho ya Papa Francis aliyoyatoa kwa ambao katika wakati wa ugonjwa, lakini hata muda mrefu uliopita, walimwangalia bila kuchoka. Miongoni mwa hao ni Massimiliano Strappetti, muuguzi ambaye kama alivyowahi kusema Papa aliokoa maisha yake kwa kupendekeza afanyiwe upasuaji wa tumbo. Papa alimteua kuwa msaidizi…

Read More

Fadlu amtaja Kibu, Camara | Mwanaspoti

USHINDI wa mabao 3-1 ilioupata Simba juzi dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika, umempa mzuka kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids ambaye hakuficha hisia zake kwa kuwataja Kibu Denis na Moussa Camara. Simba imepata ushindi huo na kufuzu hatua ya makundi kwa jumla ya mabao 3-1, baada ya mchezo…

Read More

Othman ahamasisha mageuzi matumizi ya rasilimali

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi hawapaswi kukata tamaa badala yake washirikiane kupigania mageuzi yatakayosaidia kuzitumia rasilimali zilipo nchini na kuleta neema ya kiuchumi. Othman ameyasema hayo Juni 7, 2024 katika Baraza ya Mtemani Wete, iliyopo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, alipozungumza na wafanyabiashara wadogowadogo, wanabaraza na wananchi….

Read More