
Makamu wa Rais Dk.Mpango aipongeza shule ya Istiqaama ya Tanga kwa Usafi
Na Barnabas Lugwisha Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungani wa Tanzania amezindua awamu ya pili ya Pili ya kampeni ya ‘Mtu ni afya ‘juzi Mjini Kibaha Mkoa wa Pwami ikiwa ni mara ya 50 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1973. Na katika hafla hiyo Shule ya Istiqaama ya Jijini Tanga ilishika nafasi ya pili katika…