Mafuwe aahidi soko la kisasa kwa wafugaji wa Kia

Hai. Mgombea ubunge wa Jimbo la Hai kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Saashisha Mafuwe, ameahidi kutumia ushawishi na mahusiano yake ndani ya Serikali kuhakikisha soko la mnada wa mifugo lililopo katika eneo la Mijohoroni, Kata ya Kia, linaboreshwa na kujengwa kwa viwango vya kisasa. Amesema lengo la maboresho hayo ni kuwawezesha wafugaji kuuza mifugo yao…

Read More

Maagizo ya Mkuu wa Wilaya Serengeti yatekelezwa

Na Malima Lubasha, Serengeti MAAGIZO aliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti,Kemirembe Lwota kwa uongozi wa Kijiji cha Nyami huru kilicho Kata ya Busawe ya kukutana na wananchi waliovamia eneo la kijiji la kujenga shule ya Sekondari na kuona jinsi ya kumaliza changamoto hiyo yametekelezwa kupitia vikao vya Kata,Tarafa na Kijiji. Utekelezaji wa maagizo hayo…

Read More

Msuva mambo yamenoga Ligi Kuu Iraq

Bao moja ambalo Saimon Msuva ameifungia timu yake ya Al Talaba dhidi ya Al Karma juzi kwenye Ligi Kuu ya Iraq, limemfanya nyota huyo wa Taifa Stars kufikisha mabao tisa kwenye ligi hiyo, idadi ambayo inamfanya abakize mabao matano ili avunje rekodi yake aliyojiwekea msimu wa 2018/2019. Rekodi ambayo Msuva anaiwinda ni ya kufunga idadi…

Read More

Kiungo KenGold katika rada za Coastal Union

KIUNGO Mkongomani wa KenGold, Kiala Lassa anadaiwa kutimkia Coastal Union ambako amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Mchezaji huyo amefunga bao moja kati ya 22 ambayo KenGold imeshinda, huku ikishika nafasi ya mwisho katika msimamo wa ligi ikiwa imecheza mechi 28 ikishinda tatu, sare saba na kupoteza 18. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa…

Read More

Yanga yaruka mtego wa Waalgeria

HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja…

Read More

Wananchi Wahimizwa Kuwa Makini na Magari ya Kemikali ya Sianidi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KAMPUNI ya Usafirishaji wa Kemikali ya Taifa, Transport and Logistic Limited, kwa kushirikiana na Kampuni ya Freight Forwarders Tanzania, Mainline Carriers, na Swala Solution Limited, imezindua zoezi la utoaji elimu kwa wananchi kuhusu madhara ya kemikali ya sianidi (Sodium Cyanide) na hatari ya kuyasogelea magari yanayobeba kemikali hiyo. Akizungumza leo…

Read More

Licha ya washtakiwa kuomba Hakimu ajitoe, yeye amekataa

  MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya tuhuma ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwan (57), Sangita Bharat (54) wameiomba hakimu anayesikiliza kesi hiyo ajitoe kwa sababu hawana imani nae kutokana na maamuzi anayoyato. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Aidha, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More