Ahoua aendelea kuitesa Fountain, Sowah kama kawa

KINARA wa upachikaji mabao msimu uliopita, Jean Charles Ahoua ameendelea alipoishia kwa kuitesa Fountain Gate baada ya kufunga na kuasisti Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita Ahoua dhidi ya Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC, Simba ikiibuka na ushindi wa 4-0 alifunga bao moja na kutoa pasi mbili…

Read More

Mramba: Kununua umeme ethiopia kuna faida kuliko hasara

Dar es Salaam. Kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu mchakato wa kununua umeme kutoka Ethiopia, imeendelea kuwaibua maofisa wa Serikali kuifafanua kwamba kuna manufaa kwa nchi na sio hasara kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu. Miongoni mwa wengine, waliotoa ufafanuzi huo ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba na Gerson…

Read More

TANZANIA, MFANO WA KUENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

  Na Wizara ya Madini    Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya Serikali na kampuni za kigeni. Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini bado ni tija…

Read More

Mbowe kuzima mnyukano Chadema? | Mwananchi

Dar es Salaam. Mvutano wa baadhi ya viongozi wa Chadema ukiwamo wa uchaguzi wa ndani, wa Serikali za mitaa, madai ya rushwa na kugawana madaraka na Chama cha Mapinduzi (CCM), ni miongoni mwa hoja zinazotarajiwa kuzungumzwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Kesho Jumanne, Novemba 19, 2024, Mbowe atakuwa na mkutano na waandishi wa habari…

Read More

Wananchi watakiwa kuzifahamu, kutumia anwani zao za makazi

Dodoma. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amewataka wananchi kuhakikisha wanazifahamu na kuzitumia anuani zao za makazi, akisisitiza kwamba zinasaidia katika kupata huduma muhimu kama afya na elimu kwa urahisi. Silaa ameitoa kauli hiyo  leo Alhamisi Februari 6, 2025 wakati akifungua maadhimisho ya wiki ya anuani za makazi jijini Dodoma. Silaa amesema…

Read More

RAIS SAMIA KUZINDUA DARAJA LA JP MAGUFULI

****** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua Daraja la Kigongo Busisi jijini Mwanza mwezi Mei mwaka huu, tayari kwa matumizi ikiwa ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kielelezo na ya kimkakati iliyokamilishwa na Serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan. Aidha, daraja hilo lenye urefu wa…

Read More

Kwa nini mzazi uwaze adhabu kila wakati?

Wazazi wengi hutumia adhabu kama nyenzo muhimu ya malezi. Tunapozungumzia adhabu tunamaanisha chochote kinachomsababishia mtoto maumivu kama matokeo ya kosa alilofanya. Unapomfinya mtoto, kwa mfano, unapomchapa, unapomtenga na kumkasirikia, unapompa kazi ngumu kumuumiza kama matokeo ya kosa lake, hapo unakuwa umemuadhibu. Upande mwingine wa adhabu ni kumsababishia maumivu kwa kumnyang’anya kile unachojua anakifurahia. Mfano, unapomzuia…

Read More