Vigogo CCM wanavyopambana na ‘No reform, No election’ ya Lissu

Dar es Salaam. Kaulimbiu ya Chadema ya “No Reform, No Election” imewaibua vigogo wa CCM ambao kwa nyakati tofauti wameizungumzia majukwaani wakiipinga huku wakieleza kwamba haina maana na kama wana hoja waende kuzungumza. Kaulimbiu hiyo inayosimamiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ina maana kwamba hakutakuwa na uchaguzi kama hakuna mabadiliko ya sheria zinazosimamia masuala…

Read More

WANAMICHEZO WA TANZANIA WAJIANDAA KUTUPA KARATA ZAO ZA KWANZA KWENYE MICHEZO YA 33 YA OLIMPIKI YA MAJIRA YA JOTO YA PARIS 2024

WANAMICHEZO watatu wa Tanzania walioko Paris kwenye michezo ya 33 ya Olimpiki ya majira ya joto ya Paris 2024 wameendelea na mazoezi makali chini ya makocha wao, wakijiandaa kwa michuano yao inayoanza rasmi kesho Jumatatu Julai 29, 2028. Tanzania itatupa karata yake ya kwanza kwenye michuano hii ya 33 ya Olimpiki ya Majira ya joto…

Read More

Mgunda alia na mastraika wake

LICHA ya uwepo wa mshambuliaji mkongwe, Meddie Kagere, Kocha wa Namungo FC, Juma Mgunda ameweka wazi mipango yake ya kusajili mshambuliaji mpya dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Desemba 15 na kufungwa Januari 15. Mgunda amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha safu yao ya ushambuliaji ambayo, kwa sasa, inakosa makali ya kutumia nafasi nyingi wanazozitengeneza.  Akizungumza…

Read More

Tunahujumiwa – Nchimbi – Mwanahalisi Online

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amedai kuwa vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji ya raia nchini unakihujumu chama chake na kukigombanisha na wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Tunasema bila mashaka kwamba watu wenye nia mbaya ndio wenye kuendesha magenge ya uhalifu katika nchi yetu,…

Read More

TPDC KUANZISHA VITUO VYA GESI ASILIA MIKOA MITATU NCHINI

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bi. Marie Msellemu,akizungumza na waandishi wa habarileo Agosti 6,2024  kwenye banda la TPDC katika  maonyesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni  jijini Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Sophia Mwakagenda,akizungumza na waandishi wa habari mara baada…

Read More

Dk. Biteko: Geita msiniangueshe, msiiangushe CCM

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wananchi wa Geita kujitokeza wa wingi kesho na kuchagua wagombea wa CCM. Amewahimiza wananchi hao kuendelea kumuunga mkono  yeye na CCM ili kutoa…

Read More