RC Tanga ataka udhibiti utoroshaji madini Horohoro

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amezitaka taasisi na mamlaka zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi cha Horohoro kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa madini ya vito kwenye eneo hilo kwa kuwa kunaikosesha Serikali mapato. Akizungumza na watumishi wa taasisi na mamlaka zaidi ya 17 zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi Horohoro leo Ijumaa Mei…

Read More

Jinsi ya kutengeneza pesa kwa simu yako

Dar es Salaam. Umewahi kufikiria kuwa simu yako inaweza kukutajirisha kwa kuingiza fedha nyingi, endapo utaitumia kwa usahihi mtandaoni? Eva Damba, mkazi wa Iringa anasema kwa siku huingiza kati ya Sh50,000 hadi Sh90,000 kwa kufanya biashara mtandaoni kupitia mtandao wa WhatsApp bila kukutana na mteja. Shukrani anazitoa kwa mapinduzi ya teknolojia yaliyoleta simu janja. “Simu…

Read More

Wabunge Mbeya wahamasisha uwekezaji kwenye madini, kilimo

Mbeya. Wabunge wa Mkoa wa Mbeya wamewataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, kilimo cha mpunga na tumbaku. Wabunge hao, Masache Kasaka wa Lupa (CCM) na Bahati Ndingo wa Mbarali (CCM), wametoa hamasa hiyo leo Ijumaa Mei 10, 2024 kwenye mkutano wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi uliofanyika mkoani…

Read More

ACT Wazalendo yapaza sauti bajeti ndogo Wizara ya Maji

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimedai bajeti ya Wizara ya Maji ya 2024/24 iliyowasilishwa bungeni, haiakisi mpango wa wizara hiyo katika utekelezaji wa kufikisha huduma kwa Watanzania. Hata hivyo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali….

Read More

Saa 48 za mtifuano mkutano wa kidemokrasia

Dar es Salaam. Saa 48 za mkutano wa wadau wa demokrasia nchini ulikuwa moto ambapo hoja nzito ziliibuliwa, baadhi ya wadau kunyoosheana vidole, wengine kutaniana na mwisho wa mkutano huo kutoka na maazimio ya pamoja.Mkutano huo uliofanyika Mei 8 na 9 mwaka huu jijini Dar es Salaam ulilenga kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu…

Read More