TUMUUNGE MKONO RAIS SAMIA KWA MAENDELEO-MTETEZI WA MAMA

:::: TAASISI ya Mtetezi wa Mama imesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli ya kuiletea maendeleo Tanzania huku ikiwataka wananchi kuhakikisha inampigia kura za kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao  Akizungumza mara baada ya Rais Samia kuzindua Daraja la ‘J.P Magufuli ‘ (Kigongo-Busisi) Mkurugenzi wa Taasisi ya Mtetezi wa Mama Neema Karume…

Read More

Neema Olomi aanza vyema gofu Mombasa

VIWANJA vya mchezo wa gofu vya miji ya mwambao wa Kenya vimekuwa ni rafiki kwa Mtanzania, Neema Olomi kutoka klabu ya Arusha Gymkhana baada ya kufanya vizuri tena katika mashindano ya mwaka huu ya wanawake kwenye viwanja vitano vya mjini Mombasa nchini humo. Olomi alishika nafasi ya pili nyuma ya mwenyeji Mercy Nyanchama katika mchezo…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA HAWASSI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye msiba wa Bi. Damaris Simeon Hawassi, aliyekuwa mke wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Uchumi na Fedha, Dkt. Frank Haule Hawassi, nyumbani kwa marehemu, eneo la Mihuji, jijini Dodoma, leo Jumamosi, tarehe 22 Machi 2025. Mbali na kusaini…

Read More

Mazungumzo ya Kupro yanaonyesha 'anga mpya' kati ya viongozi wa Kisiwa kilichogawanywa: Guterres – Maswala ya Ulimwenguni

Kuna “mazingira mazuri” yanayozunguka majadiliano, Katibu Mkuu António Guterres Alisema Jumanne. Akiongea huko Geneva Baada ya siku ya pili ya mazungumzo rasmi, mkuu wa UN alisisitiza kujitolea kwake katika kuhakikisha Usalama na ustawi wa Waypriots – Wagiriki wa Ugiriki na Wagiriki wa Kituruki – “Kuanzia mwanzo wa mamlaka yangu… leo ilikuwa jaribio lingine la kutafuta…

Read More

Simba, Yanga kupitisha fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Chadema yatoa pole ajali iliyouwa 28, majina yawekwa wazi

Dar/Mbeya. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeungana na wadau wengine kutoa salamu za pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa katika ajali ya gari mkoani Mbeya. Ajali hiyo, imetokea usiku wa Jumamosi Juni 7, 2025 katika eneo la Mlima Iwambi, mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 28 huku wengine wanane wakijeruhiwa. Ajali hiyo,…

Read More

Nionavyo: Hizi kambi za pre-season ni muhimu kwa klabu

KWA miongo mingi sasa umekuwa utamaduni wa klabu kufanya kambi za kujiandaa na msimu mpya maarufu kama pre season. Kwa miaka ya karibuni, kalenda za ligi ya soka duniani hazitofautiani sana, yaani ligi zinaanza na kutamatika katikati ya kalenda ya mwaka. Ligi za mataifa mengi zinaanza Agosti au Septemba na kutamatika Mei au Juni. Baada…

Read More