
Mastaa Tabora United wana jambo lao
WAKATI kikosi cha Tabora United kikijiandaa na mechi ya keshokutwa Jumatano ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, wachezaji wa timu hiyo wanadaiwa kuweka mgomo baridi hadi pale ambapo watakapolipwa mishahara ya miezi miwili. Timu hiyo imebakisha mechi mbili za kuhitimisha msimu huu ikianza ugenini kesho dhidi ya Azam, huku kikosi hicho cha Nyuki…