Mastaa Tabora United wana jambo lao

WAKATI kikosi cha Tabora United kikijiandaa na mechi ya keshokutwa Jumatano ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, wachezaji wa timu hiyo wanadaiwa kuweka mgomo baridi hadi pale ambapo watakapolipwa mishahara ya miezi miwili. Timu hiyo imebakisha mechi mbili za kuhitimisha msimu huu ikianza ugenini kesho dhidi ya Azam, huku kikosi hicho cha Nyuki…

Read More

BILIONI 6 KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI SIHA- KILIMANJARO

Na, Majid Abdulkarim, Siha- Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Siha (CCM) na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollell amesema Shilingi bilioni 6 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan zinaenda kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jimbo hilo huku akiahidi neema zaidi kwa wananchi hao. Kauli hiyo ameitoa leo wakati wa ziara yake Jimboni…

Read More

Watatu wajeruhiwa kwa mapanga | Mwananchi

Dodoma. Watu watatu wamejeruhiwa kwa kukatwa kwa mapanga katika Mtaa wa Msangalalee Magharibi, Kata ya Dodoma Makulu na kikundi cha uhalifu cha watoto wenye umri chini ya miaka 18, baada ya kuwanyima fedha walizoomba. Matukio hayo yametokea kwa siku tatu mfululizo kuanzia Desemba 12 hadi 14, 2024 kati ya saa 2:00 usiku hadi saa 3:30…

Read More

RC Tanga: Wawekezaji wasiolipa fidia wanyang’anywe ardhi

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Buriani amewaagiza wakuu wa wilaya kuhakikisha maeneo ya ardhi yaliyotolewa kwa wawekezaji ambao wameshindwa kulipa fidia kwa wananchi yanarudishwa. Agizo hilo amelitoa leo Ijumaa, Septemba 13, 2024 wakati wa kufungua kikao cha Baraza la Biashara la mkoa. Batilda amesema kuwa baadhi ya wawekezaji wamechukua maeneo ya wananchi…

Read More

NGORONGORO WATHIBITISHA KUACHANA NA KUNI INAWEZEKANA

-Wajitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya gesi ya ruzuku Wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha wameitikia wito wa kutumia Nishati Safi ya Kupikia ikiwa ni hatua ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kulinda afya na kutunza mazingira. Hayo yamedhihirika Desemba 8,2024 Wilayani…

Read More

Waziri wa maji atii agizo la Rais,afika handeni Tanga

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametii agizo la Rais Samia na kufika eneo la kwamsisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Ambapo baada ya kuona video iliyochapishwa na mwandishi wa habari Mbarouk Khan ikionesha wananchi wakiteseka kwa kukosa maji Rais Samia alitoa maagizo kwa Waziri kushughulikia changamoto hiyo haraka sana Baada ya kufika Waziri aweso…

Read More