
BARRICK NORTH MARA YAPELEKA KICHEKO,TABASAMU LA MAJI VIJIJI 11 WILAYANI TARIME
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ali Ussi akijaribu maji yanayotiririka kwenye bomba jipya la mradi wa chanzo cha maji na kupeleka maji Kijiji cha Kewanja , Nyamongo, Wilaya ya Tarime vijijini. Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ali Ussi (kushoto) akizindua jiwe la msingi la ujenzi wa mradi…