Wakulyamba, Nyamhanga, Shilogile waagwa kwa gwaride rasmi
Moshi. Jeshi la Polisi nchini limewaaga makamishna wake watatu wastaafu katika gwaride maalumu lililofanyika leo Machi 4, 2026, wenyewe wakijivunia kufanikisha operesheni kubwa ndani ya jeshi hilo. Makamishna walioagwa ni aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba, pamoja na Makamishna Albert Nyamhanga na Faustine Shilogile. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Jeshi la…