Wakulyamba, Nyamhanga, Shilogile waagwa kwa gwaride rasmi

Moshi. Jeshi la Polisi nchini limewaaga makamishna wake watatu wastaafu katika gwaride maalumu lililofanyika leo Machi 4, 2026, wenyewe wakijivunia kufanikisha operesheni kubwa ndani ya jeshi hilo. Makamishna walioagwa ni aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba, pamoja na Makamishna Albert Nyamhanga na Faustine Shilogile. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Jeshi la…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimulia athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

‘Ulimwengu unakutafuta kwa uwazi’, mkuu wa Umoja wa Mataifa anawaambia wataalam wa AI – Global Issues

“Mmoja mmoja, mnatoka katika maeneo na taaluma mbalimbali, na kuleta utaalamu bora katika AI na nyanja zinazohusiana. Kwa pamoja, unawakilisha kitu ambacho ulimwengu haujawahi kuona,” Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwaambia wanasayansi Jumanne katika mkutano wa kwanza wa Jopo Huru la Kimataifa la Sayansi kuhusu AI. Wataalamu hao 40 wanalenga kusaidia kuziba “pengo la maarifa…

Read More

Biashara ndogondogo zilivyobeba matumaini ya wanawake

Dar es Salaam. Leo dunia inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tukio linalotolewa heshima kwa wanawake kwa mchango wao katika familia, jamii na Taifa kwa jumla. Hii ni fursa ya kuangalia jinsi wanawake wa mijini Tanzania wanavyobadilisha maisha yao, wakipambana na changamoto za kila siku huku wakiimarisha kipato na nafasi yao kiuchumi. Katika mitaa ya…

Read More

Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa

WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…

Read More

Mapya yaibuka matokeo ya urais Tanzania

Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imebaini kuwepo kwa upungufu katika Katiba ya Tanzania unaozuia kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, ikisema kifungu kinachokataza hatua hiyo kinakiuka haki za binadamu. Katika hukumu iliyotolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, kwenye kesi ya Ado Shaibu na wengine dhidi ya Jamhuri…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar

WAFANYAKAZI Wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give to Gain” Tukio hili lilijumuisha tafakuri za Uwezeshaji, kushirikishana maarifa, kutambua wafanyakazi walio hudumu muda mrefu na liliheshimiwa kwa uwepo wa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bi. Diana Mwakitwange, kama Mgeni Rasmi. Kampuni ya Sukari Kilombero…

Read More

TAKUKURU Temeke llivyochukulia Hatua Kero ya Wananchi Buza

Bukos Richard February 27, 2026 0 Comments Dar es Salaam: 27 Machi 2026, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU wa Temeke jana umetoa taarifa kufuatia kero ya Wananchi wa Buza inayosambaa mitandaoni.Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari jana Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa TAKUKURU Temeke, Holle Makungu amesema kero ya wananchi…

Read More