Wakongwe watikisika BDL | Mwanaspoti

KIUT na DB Oratory zimeendelea kuzitikisa timu kongwe zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kutokana na kutokuzihofia na kuzitembezea vichapo. KIUT ilionyesha ubabe wake kwa kuichapa JKT kwa pointi 84-74, kisha kuifunga UDSM Outsiders kwa pointi 64-53 na kocha wa timu hiyo, Denisi Funganoti alisema mipango waliyojiwekea ya kufanya vizuri katika…

Read More

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

DR Congo yaishitaki Rwanda mahakama ya Afrika

Arusha. Mvutano wa kisheria umeibuka katika kesi iliyofunguliwa na Seriakali Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) dhidi ya Rwanda kwenye Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) iliyopo jijini Arusha. DRC ilifungua kesi Agosti 2023 na imeanza kusikilizwa leo Februari 12, 2025, mbele ya majaji tisa, ikiongozwa na Rais wa Mahakama hiyo, Jaji…

Read More

Pinda agusia utapiamlo, wadau wataja kuadimika kwa mbogamboga

Rwanda. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema ili kumaliza tatizo la utapiamlo ni lazima ulaji wa chakula bora chenye mbogamboga uhimizwe nchini. Pinda ameyasema hayo katika uzinduzi wa mkakati kabambe wa miaka 10 wa mambo ya chakula barani Afrika uliofanyika Kigali nchini Rwanda Septemba 2-6, 2024. Mkutano huo ulioandaliwa na Taasisi ya World…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More

40 Gofu nchi 9 kuliamsha Zanzibar

WACHEZA gofu 40 kutoka mataifa 9 duniani wamethibitisha kushiriki katika michuano ya maalum ya Maofisa Watendaji Wakuu na Mabalozi, huku waandaaji wake wakisema zimesalia nafasi 30 tu kabla ya mashindano kutimua nyasi visiwani Zanzibar mwezi Septemba mwaka huu. Nahodha wa Klabu ya Gofu ya Sea Cliff ya Zanzibar na mratibu wa mashindano hayo, Elias Soka…

Read More

Changamoto na mchango wa wanawake vijijni katika maendeleo – DW – 15.10.2024

  Wanawake wanaoishi vijijini wamezungumzia changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao, ambazo wameeleza kuwa zinawanyima fursa adhimu za kimaendeleo, kiuongozi, kiuchumi, na kijamii. DW imezungumza na wanawake kutoka maeneo tofauti ya vijijini hapa nchini, na wakaeleza changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao. Aneth Mwinama, Mkazi wa Kijiji cha Chikunja, Wilaya ya Masasi, Mtwara, anasema mifumo…

Read More