BUNGE LAPITISHA BAJETI WIZARA YA UJENZI KWA ASILIMIA 100

Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja vikubwa vya ndege. Jana Mei 29,2024 Waziri Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliwasilisha makadirio ya bajeti ya kiasi hicho kwa…

Read More

Wajasiriamali Manyara Wahimizwa Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa na Kujiandaa na Masoko ya Nje

Na Mwandishi Wetu, Manyara WAZALISHAJI wahimizwa kuthibitisha ubora wa bidhaa wanazozalisha ili waweze kuuza bidhaa zao nje ya soko la Afrika Mashariki na pia kunufaika na sera ya Local Content. Rai hiyo imetolewa Meneja wa TBS Kanda ya Kaskazini, Mhadisi Joseph Ismail, kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Chemba ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) yanayofanyika…

Read More

Usisubiri wakuchagulie, nenda kamchague mwenyewe kiongozi wako

Dar es Salaam. Katika kila jamii inayothamini maendeleo na haki, uchaguzi ni mchakato wa kipekee unaowezesha kila raia kuchagua kiongozi atakayesimamia vipaumbele vya jamii. Uchaguzi wa serikali za mitaa una nafasi muhimu kwani unaruhusu mtu kuchagua kiongozi anayemfahamu vizuri, anayeishi karibu naye na anayeweza kumwakilisha ipasavyo katika mambo ya msingi. Hii ndiyo nguvu ya demokrasia…

Read More

NCCR yasema uchumi wake hauruhusu kufanya mikutano

Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha NCCR Mageuzi wametakiwa kurudi majimboni mwao ili kuwahamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa na kukijenga chama. Hatua ya chama hicho imekuja baada ya kile kinachoelezwa hali ya uchumi wa chama hicho kutowaruhusu kufanya  mikutano ya hadhara kama vyama vingine. Kuwaambia viongozi wao warudi majimboni ni moja…

Read More

Simba yafunga hesabu kwa Conte

Simba imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa CS Sfaxien, Balla Moussa Conte leo Ijumaa, Julai 11, 2025. Kiungo huyo wa ulinzi raia wa Guinea mwenye umri wa miaka 21, alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na Sfaxien unaofikia tamati 2026 ambao Simba imeuvunja na kumnasa mchezaji huyo. Conte amekuwa miongoni mwa wachezaji tegemeo wa Sfaxien…

Read More