ACT Wazalendo yaibwaga CCM, ushindi watenguliwa

Kigoma. Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imetengua ushindi wa Chama Cha Mapinduzi katika Mtaa wa Gezaulole, Kata ya Gungu, Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kujiridhisha kuwa haukuwa huru na wa haki. Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Katoki Mwakitalu, katika hukumu ya shauri la uchaguzi lililofunguliwa na mwanachama wa Chama cha Alliance for Change…

Read More

Singida Black Stars yaanza na mashine hii

UNAMKUMBUKA kiungo mshambuliaji Raouf Bao ambaye alionyesha kiwango bora katika mashindano ya Mapinduzi Cup 2025 yaliyofanyika Zanzibar akiwa na kikosi cha timu ya taifa Burkina Faso? Sasa inaelezwa nyota huyo wa AS Sonabel ya Ouagadougou yupo katika mazungumzo ya kina na klabu ya Singida Black Stars, ili kutua kwa msimu ujao wa mashindano. Singida ambayo…

Read More

Muhimu wenye kisukari kuzijua taasisi hizi

Kisukari aina ya kwanza ni changamoto kubwa kwa watoto na vijana wengi duniani.  Mara nyingi, wenye aina ya kwanza ya kisukari wanakabiliana na changamoto za gharama za matibabu, uhaba wa insulini, ukosefu wa elimu sahihi kuhusu ugonjwa huu, na unyanyapaa wa kijamii. Taasisi kama T1 International na Sonia Nabeta zimejitokeza kama msaada muhimu kwa watoto…

Read More

MATUMIZI YA MFUMO WA E-BOARD UNAPUNGUZA GHARAMA-DED ILEMELA

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu,akizungumza kuhusu mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board) Ofisini kwake Ilemela jijini Mwanza. Na.Mwandishi Wetu-MWANZA Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali…

Read More

UDPS yasisitiza kuyataka – DW – 14.10.2024

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, chama tawala cha Rais Félix Tshisekedi, UDPS, hakiwezi kurudi nyuma katika mtazamo wake wa kubadili katiba. Viongozi wa UDPS wanadai kwamba katiba ya mwaka 2006 imekuwa kikwazo katika kukabiliana na changamoto za kisasa, huku mbunge Adolphe Amisi Makutano akisisitiza kuwa ni wakati muafaka kwa Wakongo kufikiria katiba mpya isiyo…

Read More

RAIS SAMIA MLEZI BORA WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Hamza Johari amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kukilea chama Cha Mawakili wa Serikali kwa miaka mitatu na kusema kuwa ni wajibu wao sasa kukilinda na kuhakikisha kinafikia malengo yake. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyazungumza hayo leo Aprili 15, 2025…

Read More

Mwili wa mwandishi aliyefariki ziara ya CCM wazikwa, mama azimia

Mbeya. Mama mzazi wa mwandishi Furaha Simchimba, aliyefariki dunia katika ajali iliyoua wanne, Yusta Mwaisakila amejikuta akipoteza fahamu kwa muda kwenye mazishi ya mwanaye, huku vilio na simanzi vikitawala wakati wa kumpumzisha marehemu huyo. Simchimba ni miongoni mwa watu  wanne waliofariki dunia Februari 25 katika ajali iliyohusisha gari la Serikali na basi la Kampuni ya…

Read More

Rais Mwinyi akutana na Rais wa Samsung C&T

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Zanzibar inaendelea kuleta mageuzi makubwa ya miundombinu kwa lengo la kuwavutia wawekezaji. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 4 Oktoba 2024, Ikulu Zanzibar alipokutana na Rais wa Kampuni ya Samsung C& T Corporation Oh Se-Chul kutoka Korea Kusini na ujumbe…

Read More