AKILI ZA KIJIWENI: Coastal wanapiga hela kwa akili

MWAKA 2020, Coastal Union ilipata fedha nyingi kupitia mauzo ya beki Bakari Mwamnyeto ambayo inakadiriwa kufikia takribani Sh 150 milioni. Coastal ilivuna fedha hizo nyingi kwa vile Mwamnyeto alikuwa bado na mkataba umesalia wa kuitumikia timu hiyo kwa miaka miwili zaidi. Kingine ambacho kilimfanya beki huyo wa kati kuwa lulu sokoni ni ushindani wa Yanga…

Read More

Sababu wanaume kuwa hatarini kupata kiharusi

Miongoni mwa tabia hatarishi kwa wanaume ni kutokuwa na mwamko wa kusaka matibabu, ikilinganishwa na wanawake. Tabia hii imeelezwa kuwa kisababishi cha vifo vya mapema, kwani wengi hushindwa kujua hali zao za kiafya, ikiwemo magonjwa mbalimbali, hasa yasiyoambukiza na hivyo kukosa tiba za mapema. Kiharusi ni miongoni mwa magonjwa yanayoongezeka kwa sasa, kikiathiri zaidi watu…

Read More

Idriss Deby Itno ashinda uchaguzi Chad – DW – 10.05.2024

Matokeo hayo yamepingwa na mpinzani wake mkuu Succes Masra. Matokeo hayo yaliyokuwa yanatarajiwa Mei 21, yametolewa wiki moja mapema, na yamemuonesha Deby Itno akiwa na asilimia 61 ya kura huku Masra akipata asilimia 18.5 ya kura hizo. Kumesikika milio ya risasi N’djamena baada ya matokeo hayo kutangazwa. Chad ilifanya uchaguzi wake baada ya kucheleweshwa kwa…

Read More

Mbinu mpya uendeshaji Kikoba kidijitali

Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo Tanzania (TCB) imezindua huduma ya Kikoba Mix Kidijitali kuwezesha wanachama kutengeneza kikundi mtandaoni na kuwa na uwezo wa kuweka michango, bila kujali mtandao wa simu wanaotumia. Mkurugenzi wa TCB, Adam Mihayo ameeleza hayo leo Mei 9, 2024 alipozindua kampeni ya ‘Toboa na Kikoba’ itakayowezesha vikundi kufanya kazi kidijitali. Aina…

Read More