Makonda ataka waliokula fedha za Tasaf waburuzwe kortini

Arusha. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha, imesema inawashikilia watu watatu wakiwamo watumishi wa Mkoa wa Arusha kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh428 milioni. Fedha hizo zilitolewa kwa ajili ya utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf). Takukuru imesema inaendelea na taratibu ili kuwafikisha watuhumiwa hao mahakamani. Jana Jumamosi…

Read More

Gwajima ruksa kuomba kugombea tena ubunge

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kimetoa kauli kwamba Mbunge wa Kawe, Mchungaji Josephat Gwajima anaruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania tena nafasi hiyo kupitia chama hicho. Chama hicho tayari kimeshatangaza tarehe rasmi ya kuanza uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi ya ubunge na udiwani ndani…

Read More

MWENGE WA UHURU KUZINDUA KUWEKA MAWE YA MSINGI MIRADI 11 YA MAJI MKOANI TANGA YENYE THAMANI YA BILIONI 16.7

Na Oscar Assenga, TANGA JUMLA ya Miradi 11 katika Sekta ya Maji yenye thamani ya Sh.Bilioni 16,713,383,870 inatarajiwa kuzinduliwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 mkoani Tanga ambao unatarajiwa kuwasili mkoani hapa kesho na kuzunguka maeneo mbalimbali kwenye mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo…

Read More

CHAGUENI VIONGOZI WAADILIFU-PINDA – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi Wetu, MLELE  Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuchagua viongozi waadilifu ambao hawataiingiza jamii kwenye matatizo yakiwemo yale ya sekta ya Ardhi.    Mhe Pinda amesema hayo katika Kikao cha Halmashauri ya CCM kata…

Read More

CUF wagawana mbao – Mwanahalisi Online

PROFESA. Ibrahim Lipumba, ametangazwa mshindi wa kiti cha uenyekiti ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Washindani wake watatu, Hamad Masoud Hamad, Maftaha Nachuma na Willifred Lwakatare, wamegoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi huo. Soma MwanaHALISI baadaye. About The Author Continue Reading

Read More

Tanimu: Singida Black Stars imepata jembe

BEKI wa kati wa zamani wa Singida Black Stars anayeichezea Crawley Town ya Uingereza, Benjamin Tanimu amempongeza Mnigeria mwenzake, Amas Obasogie kujiunga na Singida Black Stars kutoka Fasil Kenema ya Ethiopia, huku akisema kwa timu aliyotua imelamba dume. Tanimu ambaye anajivunia ufanisi wake akiwa na timu hiyo kabla ya kutimka nchini, ameonyesha kuwa na imani…

Read More