Mkutano wa demokrasia: Suala la Katiba mpya bado moto

Dar es Salaam. Kilio cha Katiba bado hakijapoa. Mkutano wa siku mbili wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa,  umependekeza masuala mbalimbali ikiwemo kufanya mabadiliko madogo ya kikatiba sambamba na kuendelea na mchakato wa Katiba Mpya. Mapendekezo hayo yalisomwa jana na Buruani Mshale kutoka taasisi ya Twaweza katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari na…

Read More

WANAFUNZI GEITA WAWEKA BAYANA SABABU ZINAZOCHANGIA UTORO

  Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala akisalimiana na Wanafunzi wa Sekondari ya Bung’wangoko ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa inayoendelea mkoani Geita na wadau wa elimu. Wadau wa elimu pamoja na wanachama wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) wakiwa katika ziara kutembelea shule mbalimbali mkoani…

Read More

NACTVET WAKUTANISHA WADAU WA ELIMU ZAIDI YA 260 DODOMA

Na Okuly Julius, Dodoma   Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Adolf Rutayuga,leo tarehe 9 Mei,2024, jijini Dodoma, amefungua rasmi kikao cha wadau, kinachojumuisha Wakuu wa vyuo na maafisa udahili ambao jumla yao ni 267, kinachojadili masuala ya udahili na upimaji, ili kubaini dosari…

Read More

Benjamin Mkapa warahisishiwa usafirishaji wa wagonjwa

Dodoma. Changamoto ya ukosefu wa gari la kubebea wagonjwa linaloweza kumudu kupita barabara mbaya limepatiwa ufumbuzi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa. Hospitali hiyo imepata gari aina ya Toyota Land Cruiser (Hardtop) lenye kitanda cha mgonjwa, mtungi wa oksijeni na mkoba wa dawa. Gari hilo limekabidhiwa leo Alhamisi Mei 9, 2024 na Mbunge wa Dodoma Mjini,…

Read More

Suluhu yaziachia maswali Ihefu, JKT Tanzania

MSIMU huu wa 2023/24, hakuna mbabe kati ya Ihefu SC na JKT Tanzania baada ya timu hizo kushindwa kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida huku suluhu hiyo ikiziachia maswali ya kwamba itakuwaje mechi nne zilizosalia? Leo timu hizo zilikutana kwa mara ya pili msimu huu…

Read More