MADIWANI KENYA WATEMBELEA TARI TENGERU KUJIFUNZA KILIMO

Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni hapo ili kuweza kushauri Serikali nchini kwao kutokana na uzoefu wa kazi zinazofanyika nchini Tanzania. Ugeni huo wa watu 12, ukihusisha madiwani 10, Katibu na dereva ikiwa ni ujumbe wa…

Read More

KIKAO KAZI CHA KUPITIA NA KUTHIBITISHA RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAIFA WA KUZUIA KUZAMA MAJI CHAFANYIKA DODOMA

  Na Mwandishi wetu Dodoma. Kikao kazi cha kupitia na kuthibitisha Rasimu ya Mpango Mkakati wa Taifa wa Kuzuia Kuzama Maji chafanyika tarehe 11 Juni, 2025 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na uokoa Jijini Dodoma. Kikao hicho kimewashirikisha Wawakilishi kutoka Wizara, Taasisi na Idara za Serikali, Mashirika ya Kimataifa, Asasi zisizo…

Read More

Shida ya Yanga siyo Aziz Ki

KIBARUA kijacho Yanga ni pale Algeria kwa ajili ya mechi yake ya pili ya Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger, lakini mashabiki wakiwa hawana amani hasa kutokana na viwango vya nyota wao ikiwemo Stephane Aziz Ki na Prince Dube. Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara ikilala…

Read More

Mashujaa Queens yahamia Dar | Mwanaspoti

WAKATI msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), ukisubiriwa kwa hamu kuanza, Amani Queens (kwa sasa Mashujaa) imetangaza kuhamia Dar es Salaam kuwa makao makuu badala ya Lindi ilipokuwa awali. Msimu uliopita Amani ilimaliza katika nafasi ya sita katika msimamo wa WPL ikishinda mechi saba, sare mbili na kupoteza mechi tisa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More