Bank Of Africa Tanzania Yaendesha Mafunzo Ya Biashara Kwa Wateja Wake Kahama.

Na Mwandishi Wetu. BANK of Africa Tanzania , imeendesha semina kwa wajasiriamali wa Kahama mkoani Shinyanga , kupitia kauli mbiu ya “TUKUE PAMOJA” inayodhihirisha mkakati wake wa kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) nchini Tanzania katika kufanikisha ukuaji wa kifedha na kuimarika kwa biashara zao. Semina hiyo imefanyika hivi karibuni mjini Kahama na imelenga…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA MZEE MONGELLA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akisaini kitabu cha maombolezo na kumpatia pole, Mama Gertrude Ibengwe Mongella, familia yake na waombolezaji wengine, kwa msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, ambaye ni mwenza wa Mama Mongella, leo Jumanne, tarehe 3 Juni 2025, eneo la Makongo juu, jijini Dar Es…

Read More

Dakika 45 za moto kwa Seleman Mwalimu

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya Juventus ya Italia, huku akikiri ni heshima kubwa kwake licha ya kupoteza. Mtanzania huyo aliyejiunga na Wydad Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, aliingia kipindi cha pili…

Read More

Siri wasiyoijua wanaotesa wake | Mwananchi

Kuna siri ambayo wanaume wanaodharau na kutesa wake wao hawajui. Siri hii ni kuwa wanawake wanachangia kwa kiasi kikubwa katika ufanisi wa waume wao. Wanaume wengi waliofaulu na kuwa na mali na familia thabiti, huwa wanahusisha ufanisi wao na mchango wa wake zao. Mwanamume asiyeheshimu mkewe ni sawa na bure. Hawa ni wale wanaume waliotekwa…

Read More