Mageuzi makubwa Sekta ya Ardhi yanakuja-Silaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema mageuzi makubwa Sekta ya ardhi yanakuja baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya Wizara yake na Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mkubwa wa Kuimarisha na Kuboresha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) wenye thamani takribani Sh Bilioni 150. Waziri Silaa…

Read More

Hali ya haki za binadamu Somalia inatia wasiwasi – DW – 09.05.2024

Katika mkutano na waandishi wa habari, Isha Dyfan ambaye ni mjumbe wa Umoja wa Mataifa ameweka bayana na kuelezea wasiwasi wake kutokana ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Somalia inayokabiliwa na machafuko ya kivita. “Kuhusu hali ya usalama nchini humo, Somalia inazidi kukabiliwa na changamoto si haba. Raia na hasa wanawake na watoto wangali wanaathirika pakubwa kutokana na…

Read More

Bacca: Mama yangu anamkubali Job

BEKI kisiki wa Yanga, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amesema mama yake ambaye ni shabiki mkubwa wa Simba, anavutiwa na aina ya uchezaji wa beki wa kati na nahodha msaidizi wa Yanga, Dickson Job. Bacca alisema hayo jana baada ya kutamatika kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao Yanga iliondoka na ushindi wa bao 1-0 dhidi…

Read More

‘Mageuzi makubwa sekta ya ardhi yanakuja’ Waziri Silaa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Mageuzi makubwa Sekta ya ardhi yanakuja baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya Wizara yake na Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mkubwa wa Kuimarisha na Kuboresha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) wenye thamani takribani Bil. 150 za kitanzania. Waziri Silaa amebainisha kuwa Mradi huo…

Read More

Samia: Mradi Liganga, Mchuchuma uanze

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara na ya Mipango na Uwekezaji kukamilisha mchakato wa kuipata kampuni itakayowezesha kuanza kwa mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kuanza kwa mradi huo uliopo wilaya ya Ludewa mkoani Njombe haraka kunalenga kuwezesha upatikanaji wa malighafi kwa ajili ya kiwanda cha kuunganisha magari makubwa…

Read More