KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MINNE TRA IMEFUKUZA KAZI WATUMISHI 14, SITA WAMEPUNGUZIWA MSHAHARA NA KUSHUSHWA VYEO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuimarisha weledi na uadilifu wa watumishi wa taasisi hiyo ambapo katika kipindi cha miaka minne imefukuza kazi watumishi 14 na kushusha mshahara watumishi 6 na kushushwa cheo na kupunguziwa mshahara watumishi 12 huku watumishi 22 wakipewa barua za onyo. Kauli hiyo imetolewa na Kamishina…

Read More

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya Afya kwa wakulima nchi nzima ikilenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo muhimu kwa kundi hilo.Hatua hiyo inatajwa kuwa itasaidia kuimarisha sekta ya afya ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika ukuaji wa kilimo nchini. Anaripoti…

Read More

Simba mpya hii hapa, mastaa wapya wafichwa Dar

MWANASPOTI linajua Simba imekamilisha usajili wa winga matata Joshua Mutale (22) kutoka Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu na tayari imemshusha nchini, huku ikimficha kwenye moja ya hoteli za kifahari jijini Dar es Salaam. Unavyosoma hapa, vigogo wa usajili wa Simba chini ya Cresentius Magori wamemshusha pia kiungo, Debora Fernandes Mavumbo kutoka…

Read More

Waarabu wa Mzize, waibomoa RS Berkane

ILE klabu inayomtaka mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize haitanii inakusanya mastaa hasa na sasa imepepelea kilio RS Berkane, ikiondoka na nahodha wa timu hiyo. Umm Salal ya Qatar imemng’oa nahodha huyo wa Berkane, Issoufou Dayo aliyekuwa staa mkubwa wa mabingwa hao wa Morocco. Dayo (34) anayecheza beki wa kati, ndiye aliyeiongoza Berkane kuchukua ubingwa wa…

Read More

Polisi wamdaka dereva wa lori lililoua 11 Handeni

Handeni. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linamshikilia dereva wa lori aliyesababisha ajali iliyoua watu 11 na kujeruhi wengine 13. Ajali hiyo ilitokea Januari 13, 2025, saa 3:30 usiku, katika kijiji cha Chang’ombe, wilaya ya Handeni. Akizungumza na waandishi wa habari jana Januari 16, 2025 katika kituo kidogo cha polisi cha Mkata, Wilaya ya Handeni,…

Read More

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA OFISI ZA TBS BANDARINI DAR

Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda na Biashara, Kilimo na Mifungo imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa lengo kuhakikisha usalama wa bidhaa ambazo zinatumiwa na Watanzania. Mbali na kupongezwa uwekezaji uliofanywa kwenye shirika hilo, Kamati hiyo pia ilimpongeza Rais Samia kwa…

Read More

Kukithiri udumavu Afrika kwawaibua wadau

Arusha. Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazohusika na masuala ya lishe ( ESA SUN CSN), wamesaini mkataba wa miaka mitano wenye lengo la  kupunguza changamoto zinazosababishwa na ukosefu wa lishe. Mkataba huo umesainiwa leo Jumanne Julai Mosi, 2025 katika makao makuu ya ESCA, jijini…

Read More