Mfumo wa wanachama unavyopoteza timu Ligi Kuu

Imebaki historia. Ndivyo unavyoweza kusema kuelezea maisha yanavyokwenda kasi hasa kwa timu zilizokuwa chini ya wanachama ambazo zilitisha miaka ya nyuma na sasa imebaki stori. Hii ni kutokana na zama kubadilika hasa baada ya teknolojia mpya ya mfumo wa mabadiliko ya kiuendeshaji kuziacha nyuma timu ambazo zilitegemea nguvu ya wanachama. Licha ya kwamba nguvu ya…

Read More

Kimbunga Hidaya chaua 5, kaya 7,027 zikikosa makazi

SERIKALI imetoa tathmini ya athari za kimbunga Hidaya, kilichotokea tarehe 3 Mei 2024, ikisema wananchi wa wilaya kadhaa zilizoko katika Pwani ya Bahari ya Hindi, waliathirika zaidi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Tathmini hiyo imetolewa leo tarehe 9 Mei 2024, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliyetaja wilaya zilizoathirika zaidi ikiwemo Mafia,…

Read More

Jubilee Allianz kuanza kutoa bima ya kilimo

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Katika jitihada za kuwahakikishia usalama wakulima Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz imetangaza kuanza kutoa bima ya mazao kwa wakulima. Mpango huo umetangazwa Mei 9,2024 wakati wa hafla ya kuwatambua mawakala wanaoshirikiana nao na kuwapongeza kwa kufanya vizuri. Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mtendaji Mkuu wa Jubilee Allianz, Dipankar Acharya,…

Read More

Idris azidi kung’ara Netflix – Millard Ayo

Mchekeshaji Mwigizaji super star, Idris Sultan ameipa heshima tasnia ya Filamu Tanzania akiwa nchini Afrika Kusini ambako alikua kwenye mualiko maalumu kutoka Platform ya Netflix kwa ajili ya msimu mpya wa tamthiliya ya Bridgerton ambayo ameshiriki ndani yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Idriss Sultan alipost baadhi ya picha na video akiwa na mastaa mbalimabli…

Read More

Bashiru Ally aivaa serikali kukalia vibali vya wahadhiri

MBUNGE wa kuteuliwa, Dk. Bashiru Ally amesema vikwazo vinavyoendekezwa na tume ya utumishi wa umma katika kuidhinisha vibali vya wahadhari kupanda vyeo, vikwamisha vyuo vikuu nchini kuwa vya kimataifa. Pia ameitaka serikali ipeleke marekebisho ya sheria ya utumishi wa umma bungeni kwani inagusa maeneo ya usimamizi wa rasilimali katika taasisi nyeti na za kimkakati kama…

Read More

CCM Morogoro wamjibu Lissu – Mtanzania

*Wasema hoja zake hazina mshiko Na Ashura Kazinja, Morogoro Katibu wa Siasa, Uenazi na Mafunzo Mkoa wa Morogoro, Zangina Shanang amejibu hoja tano zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu na wenzake katika mkutano wa hadhara uliofanyika Aprili 30, mwaka huu mkoani Morogoro na kusema kuwa hoja hizo ni za upotoshaji. Katibu wa Siasa…

Read More

Walimu 12,000 kuajiriwa mwaka huu wa fedha

Dodoma. Wakati Tanzania ikiwa na upungufu wa walimu 271,025 kuanzia ngazi ya awali, msingi hadi sekondari kwa mujibu wa Tamisemi, Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 itaajiri  walimu 12,000 ambao watapangiwa vituo vya kazi katika maeneo yenye upungufu. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),…

Read More