Yanga Princess haijakata tamaa WPL

KIRAKA wa Yanga Princess, Wema Maile amesema kama wachezaji hawatamani kupata matokeo wanayopitia sasa hivi na watafanya vizuri mechi zijazo. Yanga haijaonja ushindi wowote tangu ligi ianze, ikianza sare ya 1-1 na Bunda Queens, 0-0 Alliance, 1-1 na Mashujaa Queens na kupoteza dhidi ya Simba kwa bao 1-0. Akizungumza juu ya mwenendo wa timu hiyo,…

Read More

WAHITIMU JKT WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VIKUNDI VYA KIHALIFU

    MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 824 KJ Kanembwa wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. MKUU wa wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mallasa,akishuhudia kiapo cha utii cha…

Read More

Hawa hapa matajiri 10 Tanzania, shughuli wanazofanya

Dar es Salaam. Mtandao wa Billionaires.Africa umetangaza orodha ya watu 10 matajiri zaidi nchini Tanzania, ukionyesha mchango wao katika uchumi wa Taifa kupitia uwekezaji katika sekta mbalimbali kama viwanda, mafuta, mawasiliano, na fedha. Kinara wa orodha hiyo ni Mohammed Dewji, bilionea pekee wa Afrika Mashariki mwenye utajiri wa Dola bilioni 2.2 (Sh5.5 trilioni) kupitia kampuni…

Read More

Melo alaani ofisi za JamiiForums kuvamiwa, Msigwa amjibu

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo amesema kuna uvamizi usio rafiki umefanyika katika ofisi zao zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam na amedai kuwa wavamizi walikuwa wakimtafuta yeye, huku Serikali ikisema haukuwa uvamizi bali ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano na anatakiwa kutoa ushirikiano na asizue taharuki katika jamii. Kupitia mtandao wake…

Read More

Wanne wauawa kwa kupigwa mawe, kuchomwa moto

Kahama. Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni vibaka wameuawa kwa kupigwa mawe na kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira   katika Mtaa wa Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga alfajiri ya kuamkia leo Juni 17, 2025. Kijana aliyejeruhiwa kwa kukatwa panga eneo la kichwani na wanaodaiwa kuwa ni vibaka saa tano usiku wa kuamkia leo, Stephano…

Read More

TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA

NA EMMANUEL MBATILO TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kaskazini.  Kampasi hiyo inatajwa kuwa chachu ya kuongeza udahili wa wanafunzi kutokana na ongezeko la wahitimu katika maeneo hayo. Akizungumza katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba),…

Read More