SERIKALI YAAINISHA MPANGO WA KUSAIDIA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI

Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde ameainisha mpango wa serikali wa kusaidia utatuzi wa changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo nchini. Mh Mavunde ameyasema hayo leo wakati akijibi swali la Mh Dkt. Christine Gabriel Ishengoma Mbunge wa Viti Maalum aliyetaka kujua mpango wa serikali kuwasaidia Wachimbaji Wadogo wa Madini Wilaya ya Ulanga. Akijibu awali hilo Waziri Mavunde…

Read More

Mafuriko Jangwani, mwendokasi yasitisha huduma

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umeifunga Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani asubuhi ya leo Alhamisi Mei 9, 2024 kutokana na mafuriko ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini ikiwemo jijini Dar es Salaam. Taarifa kwa umma iliyotolewa na  Dart imesema kutokana na kufungwa kwa eneo hilo,  mabasi kwa njia…

Read More

WAZIRI MAKAMBA, WAWEKEZAJI WA IRELAND WAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Mkamba amefanya mazungumzo na Wawekezaji kutoka nchini Ireland ambao wapo ziarani nchini kuangalia na kufanya tathimini ya fursa za uwekezaji zinazopatika katika sekta mbalimbali. Mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 8 Mei 2024 yalilenga kubalishana taarifa mbalimbali na uzoefu katika sekta…

Read More

BEI YA ZAO LA PAMBA 2024/2025 YATANGAZWA RASMI

  Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Wizara ya kilimo kupitia bodi ya pamba nchini imetangaza bei elekeziya ununuzi wa zao la pamba katika msimu wa mwaka 2024/2025 ambayo ni Sh 1,150/=kwa kilo 1 ya pamba. Sherehe hizo zilizoambatana na uzinduzi wa ununuzi wa zao la  pamba kitaifa 2024/2025  zimefanyika leo katika Kijiji cha…

Read More