MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR; FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO NGORONGORO

Na Mwandishi Wetu, Dimani, Fumba Zanzibar Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio katika Maonesho ya Pili ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2025, yanayofanyika katika viwanja vya Dimani, Fumba Zanzibar, na kufunguliwa rasmi na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. Kupitia…

Read More

Ahadi ya Mwendokasi Mbagala yakwama tena, sababu zatajwa

Dar es Salaam. Huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza leo Jumatatu Septemba mosi, 2025, imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu yakiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba mosi 2025 na Mwananchi, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),…

Read More

Fahamu maumivu ya kichwa yanayozidi uchungu wa uzazi, risasi

Dar es Salaam. Achana na maumivu ya kujigonga kiwiko cha mguu au mkono. Uchungu wa kujifungua ulihisiwa ndiyo wenye maumivu makali ya kiwango cha juu zaidi. Hata hivyo, utafiti mpya umebaini maumivu ya kichwa yanayofahamika kama ‘Cluster headache attack’, ambayo maishani humkuta mtu mmoja kati ya 100, ndiyo yanayosababisha maumivu makali zaidi kuwahi kuhisiwa. Ni…

Read More

Mbeki ataka ukweli kwa viongozi wa Afrika

Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amewataka viongozi wa Bara la Afrika kuwa wakweli na waaminifu katika kulinda masilahi ya bara lao, ili kufanikisha malengo ya kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Waafrika. Mbeki ameyasema hayo katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika Mei 23, 2025 jijini Dar es Salaam. Mbeki…

Read More