Wapatiwa ‘nyenzo’ kukabili mabadiliko ya tabia  nchi

Njombe. Wananchi wa vijiji saba wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, wamepatiwa miche 700 ya miti kwa lengo la kuwasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, hali inayotajwa kuathiri uzalishaji wa mazao na kupunguza tija kwa wakulima wa eneo hilo. Mabadiliko ya tabianchi yameelezwa kuwa chanzo cha ardhi kupoteza rutuba, jambo linalowalazimu wakulima kutumia kiasi kikubwa…

Read More

WANAFUNZI WA MADRASA ,WAALIMU KUTOKA KONDOA WATHIBITISHA KWA MUNGU HAKUNA KUBWA NGORONGORO

Mwenyezi Mungu akitaka jambo litokee  hutokea ndivyo ilivyotokea, uumbwaji wa Kasoko ya Ngorongoro zaidi ya miaka milioni 2.5 iliyopita ambapo mlima mrefu uligeuzwa kuwa bonde la Ngorongoro. Wanafunzi wa madrasa kutoka jimbo la Kondoa mkoani Dodoma pamoja na walimu wao wameshuhudia uwezo huo wa Mwenyezi Mungu walipotembelea hifadhi ya Ngorongoro katika ziara iliyoandaliwa na mbunge…

Read More

Shinda Mizunguko ya Bure Kila Siku Kupitia Wild White Whale – Global Publishers

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, anakukaribisha kwenye promosheni ya mwezi mzima kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Wild White Whale. Kuanzia tarehe 01 hadi 31 Septemba, kila mchezaji aliyesajiliwa ana nafasi ya kujizawadia mizunguko 50 ya bure kila siku, kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa pesa halisi. Hii si bahati nasibu. Haijalishi kama umeshinda…

Read More

Salum Mwalimu aahidi kufufua kilimo cha pamba

Bunda. Mgombea urais wa Chama cha Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi kufufua kilimo cha pamba na kukiunganisha moja kwa moja na viwanda, ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuwanufaisha wakulima, endapo atachaguliwa kuongoza dola katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza leo, Septemba 11, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa…

Read More

CHAN ilivyoisha na utamu wake

ACHANA na matokeo ya fainali ya mashindano ya CHAN 2024 iliyopigwa jana kati ya Morocco na Madagascar, lakini kipute hicho kilichoanza Agosti 2 – 30, 2025 kwa mara ya kwanza kilihusisha nchi tatu wenyeji ikiwa ni Kenya, Tanzania na Uganda, lakini kimeweka historia mpya kwa kuvunja rekodi mbalimbali. Hii ilikuwa ni hatua kubwa katika kukuza…

Read More

Rais Samia mgeni rasmi Baraza la Eid

Dar/Geita. Waislamu nchini na duniani kote kesho wataadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri, huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) likisema Rais, Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid litakalofanyika kitaifa jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali na Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaj Nuhu Mruma, sherehe hizo zitafanyika katika…

Read More

VIONGOZI CCM TUHIMIZE WANANCHI KUPIGA KURA – DKT. BITEKO

Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi Vitongoji, Vijiji na Kata kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba 10, 2025 katika Kata ya Ng’anzo wilayani Bukombe ambapo amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya…

Read More