MBARAWA AKAGUA MRADI WA CATC, ASISITIZA UBORA, VIWANGO NA KUAKISI THAMANI YA FEDHA
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa Tarehe 04 Machi, 2026 amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa majengo ya Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) katika eneo la Banana, jijini Dar es Salaam, akisisitiza umuhimu wa mradi huo katika kuimarisha sekta ya usafiri wa anga nchini. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi…