Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

Mhandisi Jafari ajitosa kupambana na Babu Tale

Mhandisi na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jafari Iddy Fadhili Hegga ( pichani kushoto) amechukua na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Awali, Mhandisi Jafari alikabidhiwa fomu na katibu wa CCM wilaya comrade Michael Bundala na kufanikiwa kuirudisha. Anatarajiwa kuwa miongoni mwa wagombea wanaowania nafasi hiyo…

Read More

Simbu mzigoni Boston Marathon leo

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amesema amejiandaa vyema kushinda mbio za Boston Marathon zitakazofanyika leo Jumatatu jijini Boston, Marekani. Mbio hizo zitaanza ya saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki ambapo Simbu ana medali kadhaa ikiwemo ya shaba ya mashindano ya dunia ambayo yalifanyika London, Uingereza, 2017 pamoja na ya fedha ya…

Read More

MKOA WA GEITA KUFUNGULIWA KWA BARABARA ZA LAMI

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amhakikishia Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Serikali imepanga kufungua mkoa wa Geita kwa barabara za lami ili kurahisisha huduma za usafiri na uchukuzi hivyo kukuza uchumi wa Mkoa huo. Akizungumza na wananchi wa mji wa Katoro mkoani humo Eng. Kasekenya amesema nia…

Read More