Dar inavyozizidi nchi zaidi ya 10 kwa utajiri Afrika

Pengine ni vigumu kuamini, lakini ndio ukweli wenyewe. Kama Dar es Salaam ingekuwa ni nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kuliko mataifa mengi ya Afrika, hata Ulaya pia. Kwa mujibu wa ripoti ya ufanisi wa kikanda inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania kila baada ya miezi mitatu, pato la Dar es Salaam hadi Desemba 2022 lilikuwa…

Read More

Chukwu amtaja Aziz KI, afunguka dili la Yanga

MORICE Chukwu ni majina ambayo yalitikisa wakati wa dirisha dogo la usajili akihusishwa na timu mbalimbali nchini ikiwemo Yanga lakini baadae akaibukia Singida Big Stars na sasa Ihefu. Kiungo huyo aliwavutia mabosi mbalimbali wa klabu nchini baada ya kuonyesha kiwango bora alipokuja na timu yake ya zamani Rivers United kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho…

Read More

Wadau wataja mbinu kukabili mafuriko, uharibifu miundombinu

Dar es Salaam. Wakati mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali nchini zikiendelea kuleta athari za kiuchumi na kukwamisha baadhi ya shughuli hasa usafirishaji, wadau wameshauri mbinu zinazoweza kutumika kukabili athari zake. Pia, wameitaka Serikali ya Tanzania kuwa na utaratibu wa kufanya tathimini ya miundombinu kabla ya masika ili kuweza kupunguza athari zinazoweza kutokea. Wametoa maoni hayo leo…

Read More

Mashujaa yalipa kisasi, yaandika rekodi

MASHUJAA FC wamefanikiwa kulipa kisasi mbele ya KMC FC baada ya leo kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma. Mchezo huo wa mzunguko wa pili, Mashujaa FC imetakata nyumbani kupitia mabao ya Jeremanus Josephat dakika 12, Hassan Cheda (dk 22) na Reliants Lusajo…

Read More