Airtel waitendea haki kauli mbiu wiki ya huduma kwa wateja “Above and Beyond’ kwa kusema ’Sababu ni Wewe’

· Wakurugenzi wa Airtel wahudumia wateja ana kwa ana · Airtel wote wawafuata wateja mtaani wiki hii ‘Sababu ni Wewe’ ndio maana huduma na bidhaa za Airtel zinakupa zaidi. DAR ES SALAAM, Octoba 8, 2024, Katika maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja mwaka huu, wakurugenzi wa Airtel Tanzania wameonesha dhamira yao ya kuendelea kutoa…

Read More

Mkaguzi wa ndani Korogwe azikwa, mama asimulia alivyomsubiri

 Moshi. Dainess Shao, mama mzazi wa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao aliyeuawa kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana amesimulia alivyokuwa akimsubiri ahudhurie maziko ya baba yake mdogo. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 23, 2024 eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni….

Read More

SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA URITHI WA KABILA LA WAHDZABE.

………….. Mkuu wa Wilaya ya Karatu mkoani Arusha, Dkt. Lameck Karanga amesema Serikali kupitia mamlaka husika imeanza kuchukua hatua dhidi ya raia wa kigeni pamoja na waongoza watalii ambao ni watanzania wanaotuhumiwa kuwarekodi maudhui yasiyofaa wananchi wa kabila la Wahadzabe wanaoshi wilayani humo. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC1 Agosti 27,2025, Dkt. Lameck…

Read More

Walia kupoteza fedha mradi wa kuku

Dar es Salaam. Sikio la kufa halisikii dawa, ni msemo unaoakisi yaliyowafika wanachama wa Taasisi ya Tanzania Community Empowerment Association (Tancea) takribani 50,000 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Taasisi hiyo ilianzishwa Julai 2021 kwa lengo la kuwasaidia wafugaji wa kuku kupata mitaji, mabanda, vyakula na dawa za kuku wa nyama (broilers). Baadhi ya wanachama waliozungumza na…

Read More

Msigwa akata  rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi Nyasa, Chadema wamjibu

Iringa/Dar. Aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Kanda ya Nyasa ya Chadema, Mchungaji Peter Msigwa amekata rufaa katika chama hicho, akidai ushindi alioupata Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ haukuwa halali. Hata hivyo, wakati Msigwa akisema hayo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kama kweli Msigwa amekata rufaa na kufuata mfumo unaotakiwa,…

Read More