Mwenge wa Uhuru wamulika ununuzi wa umma

Dar es Salaam. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2024, Godfrey Mnzava ameshauri zabuni za ununuzi wa umma kutangazwa kwenye mfumo ili kupunguza malalamiko na manung’uniko. Mwaka 2023 Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) ilianzisha mfumo mpya wa ununuzi wa kieletroniki (NeST) utakaosaidia kudhibiti rushwa wakati wa mchakato wa zabuni,…

Read More

Ngoma aipa masharti Simba | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji wa Simba, Fabrice Ngoma amewapa masharti uongozi wa klabu hiyo, kama wanataka aendelee kusalia kikosini hapo, wasajili wachezaji wenye moyo wa kuipambania timu. Hivi karibuni kulikuwepo na tetesi za staa huyo kuletewa ofa na Pyramid, Al Alhy na Raja Casablanca, ila alitaka maombi hayo yapelekwe kwa uongozi wa Simba, kutokana na kuwa na…

Read More

Rais Samia aagiza bei ya gesi kupungua

Dar es Salaam. Huenda bei ya gesi ya kupikia ikapungua kutoka ile inayouzwa sasa, baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia. Dalili ya kupungua bei ya nishati hiyo, imetokana na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Wizara ya Nishati ishirikiane na sekta binafsi kuona namna ya…

Read More

TAS yataka juhudi za pamoja kukabili unyanyapaa, ukatili

Dar es Salaam. Tukio la kujeruhiwa mtoto mwenye ualbino mkoani Geita limekiibua Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS), kikiikumbusha Serikali na mamlaka husika kuhusu uhitaji wa juhudi za pamoja za kukabiliana na unyanyapaa na ukatili. TAS imesema juhudi hizo ni pamoja na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi, Vijana, Ajira na Wenye…

Read More

HAKUNA MTU ALIYE NA HAKI YA KUITISHIA ICC – DUJARRIC

Maseneta wa Marekani walioitishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric ameeleza kuwa misaada inapaswa kuingia Ukanda wa Gaza bila ya kizuizi chochote na kwamba upande wowote haupaswi kutoa vitsho kwa wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Dujarric ambaye ni Msemaji wa Katibu Mkuu…

Read More

Sababu Tanzania kuteuliwa WHO Afrika

Dar es Salaam. Kufanikiwa katika afua za afya ikiwamo miundombinu katika ngazi ya msingi, kupunguza vifo vya wajawazito na afya kwa wote ni miongoni mwa sifa za Tanzania kupewa nafasi ya kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo ambayo ni mara ya kwanza kupewa nchi za Afrika…

Read More

Copco yashinda, yasaka  sare kubaki Championship

Mwanza. COPCO FC imeanza kwa ushindi nyumbani ili kubaki Ligi ya Championship kwa kuifunga Stand United ‘Chama la Wana’ mabao 2-0 huku ikihitaji sare katika mchezo wa marudiano ili kubaki kwenye ligi hiyo msimu ujao. Mchezo huo wa mtoano (playoff) kusaka nafasi ya kubaki Ligi ya Championship umechezwa leo Mei 8, 2024 katika Uwanja wa…

Read More

Petroli yapanda, dizeli ikishuka Zanzibar

Unguja. Wakati petroli ikipanda bei, dizeli imeshuka visiwani Zanzibar. Bei ya petroli imepanda kutoka Sh3,133 ya Aprili hadi Sh3,182 kwa lita moja ikiwa ni tofauti ya Sh49 sawa na asilimia 1.56. Dizeli kwa mwezi huu (Mei), itauzwa Sh3,146 kutoka Sh3,165 za Aprili, 2024 ikiwa tofauti ya Sh19 sawa na asilimia 0.60. Bei mpya zitaanza kutumika…

Read More