
WAZAWA WAENDELEA KUITIKIA WITO WA SERIKALI KATIKA UWEKEZAJI NCHINI.
Wakazi wa Jiji la Dar es salaam na nje ya jiji hilo, wamepewa wito wa kuwekeza nchini kwani Serikali ya awamu ya sita imeweka mazingira rafiki, na kwa kufanya hivyo kutachochea maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Afisa Tarafa Ukonga, Kheri William, alipokuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Mkuu wa…