Wanachopaswa kufanya maofisa Tehama taasisi za Serikali

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikijizatiti katika matumizi ya teknolojia, ikiwamo kwenye uhifadhi wa taarifa muhimu, wadau wameshauri taasisi zinazotumia mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliani (Tehama) kuongeza ufanisi zaidi. Serikali tayari imeanzisha Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi katika matumizi ya mfumo wa Tehama na imeandaa mwongozo wa matumizi bora, sahihi na salama…

Read More

MALIPO YA WATOA HUDUMA HUZINGATIA MIKATABA YA ZABUNI

 Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa ulipaji wa madai yanayotokana na kupokelewa kwa bidhaa au huduma huzingatia masharti ya mikataba ya zabuni au kandarasi iliyoingiwa kati ya Serikali na mtoa huduma. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba(Mb) alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Temeke Mhe….

Read More

Maswali matano mwisho wa Inonga Simba

MKATABA wa beki wa Simba, Henock Inonga unamalizika mwisho wa msimu huu. Tayari ameshaitumikia Simba misimu miwili na kuonyesha kiwango bora ingawa kimekuwa kikilalamikiwa na mashabiki wa siku za karibuni. Beki huyo wa zamani wa FC Renaissance na DC Motema Pembe za DR Congo amekuwa akihusishwa pia na timu mbalimbali zikiwamo za Afrika Kaskazini hasa…

Read More

Wapalestina waukimbia mji wa Rafah – DW – 08.05.2024

Licha ya mayowe kutoka kwa jamii ya kimataifa kupinga mashambulio hayo ya ardhini, Israel ilipeleka vifaru vyake katika mji wa Rafah hapo jana Jumanne na wanajeshi wake wakakiteka kivuko kinachounganisha mji wa Rafah na Misri ambacho ni njia kuu ya kupitishia misaada kwenda katika eneo lililozingirwa la Palestina. Soma Pia: Guterres asema kushambulia Rafah itakuwa janga…

Read More