Ajali ya bajaji, Coaster yaua mama na mtoto

Mbeya. Mwanamke mmoja na mtoto wake ambao hawajafahamika majina wamefariki dunia baada ya ajali ya bajaji waliyokuwa wamepanda kugongana na basi aina ya Toyota Coaster Mtaa wa Maghorofani jijini Mbeya. Ajali hiyo ilitokea jana jioni, Mei 7, 2024  huku bajaji ikiwa imebeba watatu waliokuwa wanatokea hospitali ya mkoa. Imedaiwa kuwa, dereva wa bajaji hiyo aliyekuwa…

Read More

JKT YAENDELEA NA UJENZI WA MAHANGA

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiweka  jiwe la Msingi  ujenzi wa Mahanga ya Vijana katika kikosi cha 824 KJ Kanembwa,Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. Na.Alex Sonna-KAKONKO JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa  miundombinu na majengo  ili…

Read More

WHO, mashirika 11 yaungana kuboresha huduma za afya

Dar es Salaam. Katika kuboresha huduma za afya nchini, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeingia makubaliano na mashirika 11 yasiyo ya kiserikali kutekeleza mambo manne, ikiwamo kudhibiti na kuzuia magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Maeneo mengine ni kuimarisha mfumo wa huduma za afya, utoaji wa elimu ya afya, na kusaidia utafiti na ubunifu. Baadhi ya taasisi…

Read More

Dakika 450 za mtafutano kwa makocha 11 Ligi Kuu

WAKATI zikisalia mechi tano kumaliza Ligi Kuu msimu wa 2023/24, presha ipo kwa timu 11 ambazo zinapaswa kuchanga vyema karata zake ili kubaki salama. Hadi sasa Yanga anayetetea taji lake kwa msimu wa tatu mfululizo, ndiye kinara kwa pointi 65, Azam akifuatia kwa alama 57, Simba akiwa nafasi ya tatu kwa pointi 53 na Coastal…

Read More

SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE- MHE. KAPINGA

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme itakayoboresha upatikanaji umeme mkoani Songwe ikiwemo ujenzi wa kituo cha umeme na switching station . Naibu Waziri Kapinga amesema hayo tarehe 8 Mei, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge Mbozi, Mhe. George Mwenisongole aliyetaka kufahamu…

Read More

Ujio madaktari bingwa Morogoro mkombozi kwa wananchi

Baada ya timu ya madaktari bingwa 55 wa Dokta Samia Sukuhu Hasaan kuwasili mkoani Morogoro Kwa ajili ya kuanza kutoka matibabu ya kibingwa wakazi wa Mji huo wameshukuru huduma hiyo na kusema kuwa inasaidia Kwani huduma hizo wangezipata hospitali zingine Kwa gharama Kubwa. Amina Juma ni mmoja wa wagonjwa waliofika katika.hospitali hiyo anasema akikua anasumbuliwa…

Read More

TIC yapewa tuzo kwa uhamasisha uwekezaji Afrika

Dar es Salaam. Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimepewa heshima ya kutajwa kuwa “Shirika la Kuhamasisha Uwekezaji Lililopiga Hatua zaidi Barani Afrika” katika mkutano wa kila mwaka wa uwekezaji (AIM) 2024 unaofanyika Abu Dhabi Falme za Kiarabu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TIC leo Mei 8, 2024, tuzo hiyo imepokewa na Katibu Mkuu, Ofisi…

Read More

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA RAIS SAMIA UZINDUZI MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na viongozi mbalimbali wakati Wimbo wa Taifa ukiimbwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei,…

Read More