Musonda kumpisha Dube Yanga | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikiwa kwenye mchakato wa kusaka mbadala wa Joyce Lomalisa ambaye anatajwa kuachwa mwisho wa msimu huu, imebainika kuwa mshambuliaji Keneddy Musonda pia anampisha mtu. Musonda anamaliza msimu wake wa pili mwishoni mwa msimu huu na hakuna mazungumzo yoyote baina yake na uongozi kwa ajili ya mkataba mpya na inatajwa kuwa atampisha Prince Dube…

Read More

Mastaa Azam wawekewa milioni 300 waigomee Simba 

AZAM FC hawatanii buana! hivyo ndio unaweza kusema baada ya uongozi wa timu hiyo kuamua kutoa motosha wa mastaa wao kupambana kumaliza nafasi ya pili kwa ahadi ya kuwapa zawadi ya fedha Sh300 milioni inayotolewa kwa mshindi wa pili wa Ligi Kuu Bara. Ahadi hiyo imetolewa ikiwa ni siku moja kabla ya timu hizo mbili…

Read More

Bodi ya makandarasi kuanza operesheni kukagua miradi mikubwa nchini

Arusha. Kutokana na miradi mingi mikubwa hususani ya barabara kutekelezwa chini ya kiwango, Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), imesema inaanza operesheni maalumu kukagua miradi hiyo. Pia, imesema kupitia operesheni hiyo itakayoanza mwezi huu, itajiridhisha endapo makandarasi wa nje walioingia mikataba na Serikali wanafanyakazi kwa mujibu wa sheria na kinyume na hapo, hatua zitachukuliwa dhidi…

Read More

Dk Tulia: Nishati safi ni ukombozi kwa wanawake

Dar es Salaam. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema mabadiliko ya matumizi ya nishati kutoka chafu kwenda safi ya kupikia ni ukombozi kwa wanawake dhidi ya mambo mbalimbali. Kutokana na matumizi ya nishati hiyo, Dk Tulia amesema mwanamke atakomboka dhidi ya magonjwa na kiuchumi. Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge…

Read More