Aliyehukumiwa kunyongwa, sasa afungwa miaka 15

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Chipukizi Chondi, mkazi wa Kigoma kwa kosa la mauaji na sasa atatumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kuua bila kukusudia. Mahakama hiyo imesema imezingatia ushahidi wa mazingira kuhusiana na mauaji katika shauri hilo, hivyo imemhukumu kifungo hicho kilichoanza kuhesabiwa tangu alipotiwa…

Read More

Matukio ya ajali za moto yaliibua Jeshi la Polisi Lindi

Lindi. Wakati matukio ya ajali za moto yanayohusisha watoto yakiendelea kuripotiwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi limesema kuanzia Januari hadi Agosti 2025, kumeripotiwa matukio 10 tofauti. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Alhamisi, Agosti 28, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori amesema matukio ya ajali za moto yamekuwa yakijirudia…

Read More

Vifo, kutoweka watumishi sekta ya afya vyaibua hofu

Arusha/Moshi. Nini kimewapata? Ndilo swali linaloumiza vichwa vya wengi baada ya mwili wa muuguzi katika Hospitali ya Wilaya ya Meru kuokotwa Mto Nduruma, huku muuguzi mwingine wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC akitoweka. Itakumbukwa mwishoni mwa wiki, mwili wa aliyekuwa mfamasia katika Kituo cha Afya Isansa wilayani Mbozi, Daudi Kwibuja, ulikutwa kando mwa barabara ya…

Read More

Sh1.4 bilioni kukuza wajasiriamali wabunifu Tanzania

Dar es Salaam. Vijana na wanawake wabunifu wanatarajiwa kunufaika na Mradi wa Ubunifu wa Funguo, unaotekelezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) ambao umepanga kutoa Sh1.4 bilioni kwa lengo la kuliinua kundi hilo. Msimamizi wa mradi huo, Joseph Manirakiza amesema hayo leo Jumanne, Septemba 10, 2024 jijini Dar es Salaam mbele ya…

Read More

Makombe matatu yawagawa mabosi Yanga

ULILIONA vaibu la Yanga juzi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere pale Dar? Je unajua lile vaibu lilitokana na nini? Kina nani walioteka ile shoo? Sikia, achana na mambo mengine yooote yaliyokuwa yakiendelea, lakini kwa mashabiki wa timu hiyo ilikuwa ni zaidi na sherehe na wachezaji wao kutokana na kufanikiwa kubeba makombe…

Read More

TMA yatoa angalizo la mvua kubwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ikieleza kuhusu matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano katika maeneo machache ya ukanda wa Ziwa Victoria na Magharibi ya nchi. Taarifa ya TMA iliyotolewa Alhamisi Novemba 21, 2024 inatoa angalizo la mvua kubwa kwa maeneo machache ya ukanda wa Ziwa…

Read More