Jiji la Mbeya laagiza meneja, mkandarasi mradi wa Sh21 bilioni kuondolewa

Mbeya.  Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza  Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao na kusababisha miradi kusuasua. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Mei 23, 2024 ofisini kwake, Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo baada ya kufanya…

Read More

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

WAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na rasilimali zao licha ya uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumpa onyo juu ya kutokana na malalamiko ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili. Anaripoti Faki Sosi… (endelea). Mwabukusi amepewa…

Read More

Kivuli cha Mbowe kinavyoitesa Chadema

Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa kukaa kimya kwa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuhusu yanayoendelea ndani ya chama hicho, kivuli chake kimeendelea kuwa mwiba wenye athari lukuki. Dhana na hisia kuwa yuko nyuma ya makundi yanayopingana mitazamo na uongozi wa sasa wa chama hicho zimeendelea kugubika fikra za…

Read More

Gamondi, uongozi Yanga changamoto ni hii

VICHAPO mara mbili mfululizo ilivyopata Yanga vimeibua mambo mengi kwa taswira ya ndani ya timu hiyo kujionyesha dhahiri ambapo hatua ya kwanza ya mabosi wa timu ni kwamba wanajipanga kumpiga chini kocha wao Miguel Gamondi. Yanga inaona msalaba wa kwanza anayepaswa kubebeshwa ni kocha wao Miguel Gamondi ambaye anaonekana kama falsafa zake zimeshakuwa kitu rahisi…

Read More

MAMBO MAPYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2024 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifafanua jambo wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha…

Read More

Jina la Fei Toto bado tishio, atabiriwa makubwa

Staa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, amekiri kukunwa na kiwango kikubwa cha soka alichonacho kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyedai kama akikaza kidogo tu anaweza kufika mbali zaidi. Staa huyo aliyeanza soka jijini Arusha alikozaliwa na kukulia akiitumikia AFC Arusha kabla ya Simba kumbeba na baadae kutua Yanga,…

Read More

WMA YAPANGA KUNG’ARA SHIMUTA – MICHUZI BLOG

Ikiwa imebaki miezi miwili kuelekea mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma,Taasisi na Makampuni Binafsi ( SHIMUTA) ambayo yamepangwa kufanyika katika Viwanja vya CCM Mkwakwani mkoani Tanga kuanzia tarehe 10 hadi 24 Novemba,2024, Wakala wa Vipimo (WMA)imefanya bonanza la michezo leo Agosti 31,2024, katika viwanja vya Tcc Chang’ombe (Gwambina) Jijini Dar es Salaam…

Read More

Nondo za Askofu Bagonza uchaguzi CCM, Chadema

Dar es Salaam. Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vikielekea kufanya mikutano mikuu ya uchaguzi, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amebainisha mambo 10 yenye tafakuri tunduizi na hatima ya vyama hivyo. Januari 18-19, 2025, jijini Dodoma, CCM itafanya mkutano…

Read More

WALIMU WA AWALI NA MSINGI WAPATA MAFUNZO YA TEHAMA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Charles Mahera amesema katika zama hizi za maendeleo ya Sayansi na Teknolojia, Uhitaji wa matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji ni hitaji muhimu na lisiloepukika kwa ajili ya kurahisisha ufanisi katika utoaji Elimu bora. Ameyasema hayo leo Disemba 18, 2024, akimwakilisha katibu Mkuu Prof…

Read More