WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO KATIKA ULINZI WA HAKI ZA BINADAMU

    Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Nyanda Shuli, akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu haki na wajibu wao katika kipindi cha uchaguzi.  Na Kadama Malunde – Shinyanga Waandishi wa habari mkoani Shinyanga wametakiwa kuzingatia weledi, maadili na kutokuegemea upande wowote wakati wa kuripoti…

Read More

Kete ya Mwisho ya medali kwa Tanzania Olimpiki 2024

Kama sio Alphonce Simbu ni Gabriel Geay ambao kesho Agosti 10 watakuwa katikati ya miamba ya dunia ya mbio ndefu kusaka medali ya Olimpiki msimu huu. Nyota hao wa mbio ndefu nchini ndiyo tegemeo kubwa la medali kwa timu ya Tanzania ambayo kesho Jumamosi itakuwa barabarani ikichuana na magwiji wengine wa dunia huku ‘dada’ zao,…

Read More

Lori lapata ajali, wananchi wafurika kuchota mafuta

Dar es Salaam. Lori la mafuta mali ya kampuni ya Lake limepata ajali na kupinduka eneo la Mbwewe, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, huku baadhi ya wananchi wakifika eneo la tukio na kuanza kuchota mafuta yaliyokuwa yakivuja kwenye tenki la lori hilo. Kipande cha video kilichosambaa kwenye mitandao ya kijamii kinaonyesha watu waliobeba madumu wakichota…

Read More

Jela kwa kutumia laini ya simu ya mtu mwingine

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Ernest Lwila (30) kulipa faini ya Sh5 milioni au kutumikia kifungo cha miezi sita gerezani, baada ya kupatikana na hatia kwa kosa la kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine. Pia, mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa huyo katika shtaka la kuchapisha taarifa za…

Read More

Sababu Mkurugenzi halmashauri kutupwa jela miaka 20

Moshi/Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunza amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka. Gunza amehukumiwa adhabu hiyo Septemba 18, 2025 na Hakimu Mkuu Mkazi, Charles Uiso wa Mahakama ya Wilaya Simanjiro, ambaye amesema Jamhuri imethibitisha mashtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote….

Read More

Kwa Mkapa mambo yameanza kunoga

NYOMI ya mashabiki wa Yanga ikiwa imefurika nje, walioingia ndani wanaendelea na burudani ya muziki, huku mhamasishaji wa tamasha la wiki la Mwananchi, Dakota akiifanya kazi yake vyema. Ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, mashabiki wanaendelea kuingia, huku zikipigwa nyimbo za wasanii mbalimbali Dakota akiwa anawahamisha. Yanga leo inafanya tamasha lao, linalotumika kutambulisha kikosi chao…

Read More

Viongozi mbalimbali watembelea Banda la NIC insurance Maonesho ya Sabasaba.

Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisaini kitabu  wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania,  Profesa Ibrahim Hamis Juma  akipata maelezo kutoa  Afisa Bima  wa NIC Insurance  Deogratius Mlumba wakati  Jaji Mkuu hiyo…

Read More

Coastal Union, JKT Tanzania mechi ya nafasi

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata Coastal Union dhidi ya Kagera ugenini, leo Mei 25 itakuwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga kuikaribisha JKT Tanzania. JKT Tanzania Mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya awali Coastal kuondoka na pointi tatu dhidi ya wanajeshi wa JKT. Coastal ipo nafasi…

Read More

Benki ya Exim yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

  KATIKA juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’ maarufu kama ‘Shule Kidijitali’, suluhisho la malipo linalorahisisha malipo ya ada za shule moja kwa moja na wazazi, walezi, au wanafunzi wenyewe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dara es Salaam … (endelea). Kupitia namba maalum inayotolewa…

Read More