Dk Ndugulile kupeperusha bendera ya Tanzania WHO

Dar es Salaam. Tanzania inakusudia kutangaza jina la Dk Faustine Ndugulile kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Gazeti la Mwananchi limebaini. Kazi ya kunadi jina la Dk Ndugulile kuwa mteule wa Tanzania katika nafasi hiyo, itaanza rasmi leo katika hafla ya kumtangaza itakayofanywa na uongozi wa Wizara ya…

Read More

UWEPO WA MADAKTARI BINGWA WA WATOTO NJITI KWENYE HOSPITALI ZA UMMA YASAIDIA KUOKOA UHAI WA WATOTO HAO

Kwa muda mrefu kinamama waliokuwa wanajifungua watoto kabla ya wakati (njiti) wamekuwa wakipatwa na hofu na mashaka kuhusu mustakabali wa maisha ya watoto wao kwakuwa inaelezwa wengi wa watoto hao walikuwa wakipoteza maisha kutokana na kukosa huduma bora za uangalizi kwa mama na mtoto. Hata hivyo jambo hilo kwa sasa linaonekana kuwa historia kutokana na…

Read More

Katibu mkuu akemea uzinzi mahala pa kazi

Arusha. Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Said ameonya mameneja rasilimali watu wa kada ya utumishi wa umma kujiepusha na vitendo vya ngono mahala pa kazi. Amesema hali hiyo husababisha upendeleo, migogoro na vurugu na mwisho wa siku morali ya kazi kwa watumishi hushuka.  Zena ameyasema hayo leo Jumanne Mei 7,…

Read More

Wanafunzi waweka wazi sababu za utoro kukithiri Geita

Geita. Wakati changamoto ya utoro ikitajwa kuchangia kurudisha nyuma jitihada za kuinua kiwango cha elimu mkoani Geita, wanafunzi wamezitaja sababu zinazochangia kukithiri kwa hali hiyo. Miongoni mwa sababu hizo ni shughuli za kiuchumi hasa uchimbaji kwa ajili ya kujipatia kipato, adhabu ya viboko na kukatishwa tamaa kutokana na changamoto ya ukosefu wa ajira. Wanafunzi hao…

Read More

Dkt Yonazi awashukuru Jukwaa la Viongozi Tanzania kwa msaada wa 13.7m/- kwa waathirika Hanang

Na Mwandishi Wetu,Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amepokea msaada wa 13.7m/- kutoka kwa wanachama wa kundi sogozi(WhatsApp) liitwalo Viongozi Tanzania. Akipokea msaada huo katika hafla hiyo iliyofanyika jana ofisini kwake Mei 6,2024,mjini Dodoma ,Dkt Yonazi amewashukuru wanachama wa kundi hilo kwa kujitoa kwao…

Read More