Mwenda ataja mambo matatu kuvuka lengo ukusanyaji mapato Zanzibar

Unguja. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda ametaja mambo matatu makuu yatakayotekelezwa ili kufanikisha lengo la kuongeza ukusanyaji wa mapato Zanzibar. Mwenda amesema kuwa Mamlaka hiyo itaweka mkazo katika kujenga ushirikiano mzuri na wafanyabiashara kwa kurahisisha mazingira ya kufanya biashara, kuimarisha huduma kwa wateja, pamoja na kuboresha mazingira ya kazi kwa…

Read More

INEC yatangaza majimbo mapya manane 

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza majimbo mapya nane na hivyo kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272. Aidha, INEC imeongeza idadi ya kata tano na hivyo kufanya idadi zitakazofanyika uchaguzi mkuu kufikia kata 3,960. Mchakato wa kupokea maoni ya kubadilisha na kugawanywa kwa majimbo ya uchaguzi na kata za uchaguzi…

Read More

Othman: Tumechoka kuuwana kwa kisingizio cha uchaguzi

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kime wataka baadhi ya viongozi kuacha tabia ya kuwagombanisha Wazanzibar na kusababisha kuuana kwa kisingizio cha Uchaguzi. Kimewataka viongozi hao kuacha mara moja kutekeleza nia zao ovu kupitia mwamvuli huo. Hayo yamesemwa leo Alhamis Aprili 10, 2025 na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud Othman alipofanya mazungumzo na viongozi wa…

Read More

Mpo? Hivi ndio Feisal anavyopenya Simba

FEISAL Salum maarufu kama Fei Toto ni miongoni mwa wachezaji bora wa kiungo katika soka hapa nchini. Uwezo wake katika usambazaji wa mipira, kasi na weledi wa kusoma mchezo umemfanya awe kipenzi cha mashabiki wengi wa soka na kocha yeyote anayetafuta kuimarisha safu ya kiungo katika kikosi. Akiwa bado ana mkataba na Azam FC hadi…

Read More

DAR ES KUKOSA UMEME KWA SAA 10,MAENEO HUSIKA YATAJWA

::::::: Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa umeme kesho Jumapili, Septemba 7, 2025, kutokana na matengenezo katika kituo cha kupoza umeme cha Gongolamboto.  Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Septemba 6, 2025 imesema, umeme utakosekana kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 11 jioni, hatua inayolenga kuimarisha huduma kwa wateja wake wa Mkoa wa Ilala na…

Read More