EU yatoa kauli barafu kilele cha Mlima Kilimanjaro

Moshi. Mabalozi 12 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa) na kueleza kuwa zinahitajika jitihada za makusudi kunusuru barafu ya Mlima Kilimanjaro, ambayo imeendelea kupungua kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza katika lango la Marangu, jana Septemba 19, 2025 wakati wa kuhitimisha ziara ya siku…

Read More

Nyuma ya raha ya bodaboda kuna hatari hizi kiafya…

Dar es Salaam. Pamoja na uhakika wa kufika haraka, kupenya kwenye msongamano na gharama nafuu za usafiri wa bodaboda, unajua madhara ya kiafya yaliyojificha nyuma ya raha hizo? Sikutishi uache kupanda au kuendesha bodaboda, muktadha wa andiko hili ni mtazamo wa wataalamu wa afya, wanaoeleza madhara ya kiafya yanayowakabili watumiaji na madereva wa usafiri huo,…

Read More

AMRI NA NOTISI YA MGAWANYO WA MAENEO YA KIUTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA YATAJWA IKIWEMO TARAFA YA LOLIONDO

Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za mkoa na Serikali za Mtaa Mohamed Mchengerwa akizungumza na waandishi wa habari mapema leoMkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akimkaribisha Mhe. Mchengerwa huku akimtaja kama kiongozi anayefikika na mwenye umahiri mkubwa katika kuwatumikia wananchi.Baadhi ya Wa kuu Wa wilaya za mkoa Wa Arusha wakiwa…

Read More

Lema ataja kiini cha tatizo Chadema, Mnyika azungumza

Dar es Salaam. Ni dhahiri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinapitia kwenye nyakati ngumu zinazotishia mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Kwa zaidi ya miaka 20 Chadema kimejipambanua kama chama cha siasa chenye kuipa changamoto Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoongoza dola kwa sasa. Hata hivyo, kwa sasa Chadema kiko kwenye nyakati ngumu…

Read More

Wakurugenzi dhibitini mianya ya upotevu wa mapato – Mchengerwa

Na Mwandishi Wetu, Mikumi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wakurugenzi wote nchini kusimamia kikamilifu ukusanyaji wa mapato ya halmashauri na kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati alipotembelea Kituo cha Afya Mikumi wilayani Kilosa mkoani Morogoro wakati wa ziara…

Read More

CCM yawatuliza wagombea walioenguliwa kura za maoni

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wagombea walioenguliwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho za kuwania nafasi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa, kuwa wavumilivu kwa kuwa wana nafasi nyingine ya udiwani katika uchaguzi mkuu mwakani. Mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM kuwania uteuzi wa kupeperusha bendera…

Read More